Video: Chenja

Video: Chenja

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,547
Reaction score
29,386
Hivi nyimbo za mchaka mchaka za jeshi kwa nini zinakuwaga na matusi sana.[emoji26][emoji26]
Vipi hizi nyimbo na zile za wasimamisha nguzo wa tanesco je!ni zipi zinaamsha amsha?? [emoji23][emoji23]
 
Mbona hawajaimba matusi.
Ukitafsiri matusi hilo ni tatizo lako sio wao.
 
Asikudanganye mtu, TANESCO wasimamisha nguzo ni mwisho wa matatizo.

Wale jamaa wa TANESCO matusi yao ya wazi.

Afadhali hawa Wajeda
 
Back
Top Bottom