Video: CDF Mabeyo na Sirikali "Dokezo la Siri"

Pazi na Jogoo

JF-Expert Member
Aug 12, 2016
331
494
Wale wamekuja leo, kwa sauti za mbali zinasikika kwa minong'ono ya chumbani bila kujua nilikuwa nyuma nami nilisikia.

Mambo yale yale nilijua yameisha, lahaula kumbe bado yanaendelea.
Alimaanisha usiku ule wengi wasingejua lakini sisi tulipata taarifa mapema.

Nilichokisema kwako ni kile nilichosikia nyakati zile za usiku, ilikuwa siri lkn imeng'amuliwa mchana kweupeee!

Kwanza walikuwa wenzetu kama ujuavyo mwenye mali akitafutwa kwake asiwepo asiye na mali apatami.

Mandhari ile ile ambayo ni adui kwa mwenye mali kwa asiye na mali inakuwa ikulu yake.

Sasa nisikuchoshe.
Ila nakumbuka CDF pale Chato ulisema utamuona SSH ofisini kwa dokezo lile la awali, nami kiherehere moyo washindwa kutulia watamani kusikia ukisema siku ile ya salamu za mwisho, sijui jicho lile liliwaelekea wao?

Sasa wote tulikuwepo hata wamiliki wa sauti zile za minong'ono nao kama kwa mbaaali niliwaona,

Ikumbushe akili yangu kwamba SSH naye siku moja atasema alidokezwa lkn hatuna shaka naye ataweza kusema kupitia TBC yetu, siku hiyo atawaliwe na hekima maana atalitonesha jereha lililopona na imani itarudi kwetu tutakusanya fito na kuijenga upya nyumba yetu iliyobomolewa na wageni tulowakaribisha kwetu kwa muda, ingawa usalama wake utatakiwa kuongezwa maradufu.

Unajua wageni wale walikuja na ngamia wao, kwa bahati mbaya kilikuwa kipindi cha masika, kwahivyo siku zile mvua ikinyesha karibu kila siku, kwa huruma yetu tulimwingiza ngamia wao ndani ya nyumba yetu angalau kichwa chake tu, mwishome mwili mzima ukaingia ndani na kwa udogo wa nyumba ile wenyeji tulisukumwa kabisa hadi nje na wageni wale wakawa watawala nya nyumba zetu wenyewe.

Sasa tumekasirika tutatumia mijeredi kuwatoa nyumbani mwetu tuendelee kuwa wamiliki.

Jicho letu la hasira lilianzia pale kuokoa watu katika Mv Nyerere Ukara-Ukerewe, si unakumbuka ndipo nguzo za urafiki wetu zilianza kutetemeshwa na mtikisiko wa ardhi?

Ngoja nikukumbushe, si unajua zamani sana tulisafiri kwa kutumia punda kama safari yetu ni fupi?
Na kama safari yetu tungepitia jangwani ngamia wasinge ambatana nasi?
Na zaidi kama tungesafiri kwenda mbali zaidi si tuliwatumia farasi?

Sasa mbona wataka punda katika safari ndefu tena njia zako za jangwani umewaacha ngamia?

Kwenye safari zetu zote hatukuacha kikombe kilichovunjika mkono maadam hakivuji.

FB_IMG_1616831783008.jpg


 
Aisee lipo jambo kwa kikundi fulani, ila muhimu kwetu tumshukuru Mungu Tanzania ipo salama na nyenye tumaini jipya la furaha na umoja wa kitaifa.
 
Wale wamekuja leo, kwa sauti za mbali zinasikika kwa minong'ono ya chumbani bila kujua nilikuwa nyuma nami nilisikia.

Mambo yale yale nilijua yameisha, lahaula kumbe bado yanaendelea.
Alimaanisha usiku ule wengi wasingejua lakini sisi tulipata taarifa mapema.

Nilichokisema kwako ni kile nilichosikia nyakati zile za usiku, ilikuwa siri lkn imeng'amuliwa mchana kweupeee!

Kwanza walikuwa wenzetu kama ujuavyo mwenye mali akitafutwa kwake asiwepo asiye na mali apatami.

Mandhari ile ile ambayo ni adui kwa mwenye mali kwa asiye na mali inakuwa ikulu yake.

Sasa nisikuchoshe.
Ila nakumbuka CDF pale Chato ulisema utamuona SSH ofisini kwa dokezo lile la awali, nami kiherehere moyo washindwa kutulia watamani kusikia ukisema siku ile ya salamu za mwisho, sijui jicho lile liliwaelekea wao?

Sasa wote tulikuwepo hata wamiliki wa sauti zile za minong'ono nao kama kwa mbaaali niliwaona,

Ikumbushe akili yangu kwamba SSH naye siku moja atasema alidokezwa lkn hatuna shaka naye ataweza kusema kupitia TBC yetu, siku hiyo atawaliwe na hekima maana atalitonesha jereha lililopona na imani itarudi kwetu tutakusanya fito na kuijenga upya nyumba yetu iliyobomolewa na wageni tulowakaribisha kwetu kwa muda, ingawa usalama wake utatakiwa kuongezwa maradufu.

Unajua wageni wale walikuja na ngamia wao, kwa bahati mbaya kilikuwa kipindi cha masika, kwahivyo siku zile mvua ikinyesha karibu kila siku, kwa huruma yetu tulimwingiza ngamia wao ndani ya nyumba yetu angalau kichwa chake tu, mwishome mwili mzima ukaingia ndani na kwa udogo wa nyumba ile wenyeji tulisukumwa kabisa hadi nje na wageni wale wakawa watawala nya nyumba zetu wenyewe.

Sasa tumekasirika tutatumia mijeredi kuwatoa nyumbani mwetu tuendelee kuwa wamiliki.

Jicho letu la hasira lilianzia pale kuokoa watu katika Mv Nyerere Ukara-Ukerewe, si unakumbuka ndipo nguzo za urafiki wetu zilianza kutetemeshwa na mtikisiko wa ardhi?

Ngoja nikukumbushe, si unajua zamani sana tulisafiri kwa kutumia punda kama safari yetu ni fupi?
Na kama safari yetu tungepitia jangwani ngamia wasinge ambatana nasi?
Na zaidi kama tungesafiri kwenda mbali zaidi si tuliwatumia farasi?

Sasa mbona wataka punda katika safari ndefu tena njia zako za jangwani umewaacha ngamia?

Kwenye safari zetu zote hatukuacha kikombe kilichovunjika mkono maadam hakivuji.

View attachment 1735593View attachment 1735594
Kweli aise
 
mlimdisi sana wajina kwamba ni mshamba sijui kabebwa na ukabila kufika alipo,ila hatimaye anaonyesha kwamba aliwekwa hapo kama nguzo moja wapo.

ndio maana tunasema bimkubwa ataipita reli iliyokwisha wekwa,bila kujali imepita kwenye shamba la nani.
 
mlimdisi sana wajina kwamba ni mshamba sijui kabebwa na ukabila kufika alipo,ila hatimaye anaonyesha kwamba aliwekwa hapo kama nguzo moja wapo.

ndio maana tunasema bimkubwa ataipita reli iliyokwisha wekwa,bila kujali imepita kwenye shamba la nani.
Upo sahihi, walikuwa wana dislike jamaa kuwa kabebwa kikabila, leo kawa shujaa out of the proclaimed word by the foolish individuals 's gang'
WaTz vigeu geu kama jaguar
 
Nape alijibu swali vizuri sana na ipasavyo. Hakika mwenyezi Mungu kaamua
 
Kuna kipindi watanzania tulihitaji rais mwenye maamuzi magumu,mungu akatupa magu,waliohusika wanashangilia,lkn wanaoipenda nchi yao tunalia, juzi nilikuwa nimekaa na CDF mabeyo ,kwenye paji lake la uso kuna vitu vingi nilivisoma,jana pia wakati anasimama kwenda kutoa salam kwa niaba ya vyombo vya usalama,duuuh kuna ujumbe usoni mwake uannitisha,kuna kitu kigumu kinakuja,hata km sio leo kesho inakuja,,kilichofanyika tarehe 17/3/01,Ni mapinduzi,
 
Kuna kipindi watanzania tulihitaji rais mwenye maamuzi magumu,mungu akatupa magu,waliohusika wanashangilia,lkn wanaoipenda nchi yao tunalia, juzi nilikuwa nimekaa na CDF mabeyo ,kwenye paji lake la uso kuna vitu vingi nilivisoma,jana pia wakati anasimama kwenda kutoa salam kwa niaba ya vyombo vya usalama,duuuh kuna ujumbe usoni mwake uannitisha,kuna kitu kigumu kinakuja,hata km sio leo kesho inakuja,,kilichofanyika tarehe 17/3/01,Ni mapinduzi,
Kwahiyo kwasasa tumewekewa kivuli juu ya kiti?
 
Back
Top Bottom