Na yule afande kamuona, kamfuata sasa sijui nini kimetokea.nani kakupa ruksa ya kurekodi au kupost.
Yaani nilikuwa na mpango huo huo, lazima nimfukuzishe mtu kazi pale, we ngoja tumimi nawalia mingo wale wa pale kwenye daraja la mlalakuwa karibu na makao makuu ya jkt kawe..yaani wale washenzi wanachukua rushwa kama hawatafufuliwa yesu akirudi..