Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
ccm itakapoangushwa 10/31/2010 unafikiri kesho yake kutakuwa na vichwa gani vya habari kwenye magazeti yetu?
1. History made.
2. Kwaheri mafisadi.
3 kikwete kukata rufaa.
3. Mh. Rais dr. Slaa
4. Amiri jeshi mkuu dr. Slaa
5. Siku ya ukombozi
6. Wageni wasifu uchaguzi huru na haki.
7. Rais kibaki ampongeza dr. Slaa.
8. Ndoto ya upinzani yatimia
CCM itakapoangushwa 10/31/2010 unafikiri kesho yake kutakuwa na vichwa gani vya habari kwenye magazeti yetu?
1. HISTORY MADE.
2. KWAHERI MAFISADI.
3 KIKWETE KUKATA RUFAA.
3. MH. RAIS DR. SLAA
4. AMIRI JESHI MKUU DR. SLAA
5. SIKU YA UKOMBOZI
6. WAGENI WASIFU UCHAGUZI HURU NA HAKI.
7. RAIS KIBAKI AMPONGEZA DR. SLAA.
8. NDOTO YA UPINZANI YATIMIA
Vichwa vingine vya habari jumatatu ijayo! 1. Hatimaye utabiri wa mwalimu nyerere watimia. 2. Wazalendo washika usukani. 3. Ngawaiya afungasha vilago,kuamia Iran. 4. Siku 100 za kwanza za dr.,Obama asema: 'dr. afanya kweli Bongo' 5. Mnyika kuwa Waziri wa mambo ya nje. 6. Jeykey akubali matokeo 7. HabariLEO kufutwa rasmi. 8. Tanzania iko huru sasa 9. Mafisadi 11 wakamatwa jijini dar wakitoroka. 10. Elimu,afya bure,sasa madini kunufaisha waTZ 11. JF Kufanya party mtandaoni.
Natamani siku hiyo nisisikilize chombo chochote cha habari kwani naweza kukivunja either ka hasira au furaha
Lipumba ashinda kwa asilimia 51.
Mamilioni ya kura yamuangukia Lipumba
Lipumba kuapishwa usiku
Lipumba kutangaza Baraza la Mawaziri.
Lipumba ashinda kwa asilimia 51.
Mamilioni ya kura yamuangukia Lipumba
Lipumba kuapishwa usiku
Lipumba kutangaza Baraza la Mawaziri.
jacob zuma,mugabe,sarkoz,medvedev,museveni,ccm itakapoangushwa 10/31/2010 unafikiri kesho yake kutakuwa na vichwa gani vya habari kwenye magazeti yetu?
1. History made.
2. Kwaheri mafisadi.
3 kikwete kukata rufaa.
3. Mh. Rais dr. Slaa
4. Amiri jeshi mkuu dr. Slaa
5. Siku ya ukombozi
6. Wageni wasifu uchaguzi huru na haki.
7. Rais obama ampongeza dr. Slaa.
8. Ndoto ya upinzani yatimia
duh! ivi kumbe kuna watu wanawenda hatua moja mbele na kurudu hatua moja nyuma na kujipongeza