GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,133
Tafadhali Mzee wangu na Mmiliki wa Sibuka Media Dk. Nangale na Mkeo Doreen Nyange ( Boss Mwandamizi Sibuka Media ) mmekumbwa na nini Siku hizi hadi mnaajiri Watangazi wa hovyo hovyo na wanaotia Kichefuchefu kuwasikiliza kama huyu wa leo?
Nawaombeni hebu rejeeni Kukagua Academic Credentials za huyo Dada ( Mtangazaji ) wenu wa zamu na aliyesoma Vichwa vya Habari leo Ijumaa tarehe 30 Desemba 2022 kuanzia Saa 2 na Robo hadi Saa 2 na Nusu ili Mjiridhishe nae kama anastahili kuwa Mtangazaji.
Hivi Qualified and Professional Radio Presenter anaweza akawa kweli na Madhaifu haya yafuatayo kama aliyokuwa nayo Yeye leo akiwa anatusomea Vichwa vya Habari vya Magazeti?.
1. Ajari ya Preshisheni Hea
2. Kipa wa Simba SC Benyo Kakolanya
3. Kiungo wa Brazil Pele hafariki Dunia
4. Tanzania Prisons wahaidiwa Haadi wakiifunga Simba SC leo
GENTAMYCINE ningemsamehe ila alipokuja Kunikera zaidi ni pale alipoanza Kuinanga Kiaina Simba SC huku akisema Kimafumbo huku akicheka kuwa Wao ( akimaanisha Yanga SC yake ambayo hata Wewe Boss wake Dk. Nangale nakujua Unaishabikia ) wako ( mko ) juu Kileleni.
Tafadhali Mzee wangu Dk. Nangale na Mmiliki wa Sibuka Media na Mkeo Doreen Nyange hebu tafuteni Watangazi mahiri na siyo hawa Vichefuchefu na wasiojua hata kuficha Mahaba yao ya Kimpira kwa Vilabu vyao wanavyovishabikia.
Mwisho nimalizie kwa kutoa Wito kwa Vyuo vya Uandishi wa Habari Tanzania hebu jitahidini Kutuzalishia Watu ( Waandishi wa Habari ) walio Competent na siyo Vichefuchefu kama huyu ( huyo ) Dada kwani Wanaiabisha Tasnia yangu Mama, Pendwa na inayoheshimika sana hapa Duniani.
GENTAMYCINE ni kama Bahari huwa sikai na Uchafu hivyo lifanyieni Kazi hili kwa manufaa ya Redio yenu na Sisi Wasikilizaji ( Audiences ) wenu vinginevyo mtatupoteza na mtakosa hata Wadhamini ( Advertisers ) na mtaanza kumtafuta Mchawi na kukimbilia kusema Mmerogwa wakati kumbe Mmejiroga wenyewe kutokana na Mapungufu yenu ya Kimsingi.
Nawaombeni hebu rejeeni Kukagua Academic Credentials za huyo Dada ( Mtangazaji ) wenu wa zamu na aliyesoma Vichwa vya Habari leo Ijumaa tarehe 30 Desemba 2022 kuanzia Saa 2 na Robo hadi Saa 2 na Nusu ili Mjiridhishe nae kama anastahili kuwa Mtangazaji.
Hivi Qualified and Professional Radio Presenter anaweza akawa kweli na Madhaifu haya yafuatayo kama aliyokuwa nayo Yeye leo akiwa anatusomea Vichwa vya Habari vya Magazeti?.
1. Ajari ya Preshisheni Hea
2. Kipa wa Simba SC Benyo Kakolanya
3. Kiungo wa Brazil Pele hafariki Dunia
4. Tanzania Prisons wahaidiwa Haadi wakiifunga Simba SC leo
GENTAMYCINE ningemsamehe ila alipokuja Kunikera zaidi ni pale alipoanza Kuinanga Kiaina Simba SC huku akisema Kimafumbo huku akicheka kuwa Wao ( akimaanisha Yanga SC yake ambayo hata Wewe Boss wake Dk. Nangale nakujua Unaishabikia ) wako ( mko ) juu Kileleni.
Tafadhali Mzee wangu Dk. Nangale na Mmiliki wa Sibuka Media na Mkeo Doreen Nyange hebu tafuteni Watangazi mahiri na siyo hawa Vichefuchefu na wasiojua hata kuficha Mahaba yao ya Kimpira kwa Vilabu vyao wanavyovishabikia.
Mwisho nimalizie kwa kutoa Wito kwa Vyuo vya Uandishi wa Habari Tanzania hebu jitahidini Kutuzalishia Watu ( Waandishi wa Habari ) walio Competent na siyo Vichefuchefu kama huyu ( huyo ) Dada kwani Wanaiabisha Tasnia yangu Mama, Pendwa na inayoheshimika sana hapa Duniani.
GENTAMYCINE ni kama Bahari huwa sikai na Uchafu hivyo lifanyieni Kazi hili kwa manufaa ya Redio yenu na Sisi Wasikilizaji ( Audiences ) wenu vinginevyo mtatupoteza na mtakosa hata Wadhamini ( Advertisers ) na mtaanza kumtafuta Mchawi na kukimbilia kusema Mmerogwa wakati kumbe Mmejiroga wenyewe kutokana na Mapungufu yenu ya Kimsingi.