Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,660
- 46,350
- Thread starter
- #81
Huwezi kutaja tu unavyojisikia,kazi zao na mchango wao katika jamii ndio utawatambulisha.
Unataka maelezo ya nani kati hao?
Unataka maelezo ya nani kati hao?
Ni bora ungetaja wamefanya lipi tofauti na waliowatangulia ambao pia wamefanya mambo kama hayo. Siyo kutaja tu majina maana kama ni kutaja tu majina kila mtu humu anaweza kutaja anvyojisikia yeye.