The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,171
- 51,146
Kila mtu na mtazamo wake na maono yake,huwezi kulazimisha kila mtu awaze au apende kitu kama wewe,weka mtazamo wako wewe kama wewe ila usilazimishe mtazamo wako ukubaliwe na kila mtu.Watu wa zamani mna kasumba ya kufikiri kila cha zamani ni kizuri na kila kitu kipya ni kibaya. Mtanga zaidi ya Idris?