Vibweka vya kiaina

Vibweka vya kiaina

Kanyafu Nkanwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2010
Posts
850
Reaction score
103
BAHIL: ndizi moja sh ngap?
MUUZAJ: ndizi moja sh 100.
BAHILI: nipe kwa sh 60.
MUUZAJI: kwa sh 60 unapata maganda tu.
BAHILI: Sawa basi shika sh 40, nipe ndiz tupu, hayo maganda ya shlng 60 yatoe ubakie nayo mwenyewe.

MUUZAJI: Mshe-nzi mkubwa weye.
 
Hilo neno "Vibweka" limenikumbusha "Nyenzi.com" kulikuwa na mtu anaitwa "Vibweka vya Seleka" jamaa alikuwa na vibweka kweli.
 
Hilo neno "Vibweka" limenikumbusha "Nyenzi.com" kulikuwa na mtu anaitwa "Vibweka vya Seleka" jamaa alikuwa na vibweka kweli.

Mazee na wewe ulikuwepo Nyenzi kumbe? Daaah long time sana yaani!
 
ilishawahi kuletwa mara kibao humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom