FAHMI ABDULRAHMAN
New Member
- Jan 8, 2012
- 3
- 0
Jamaa mmoja alihudhuria msiba,baada ya kuingia msibani tu alianza kulia kwa nguvu zote, baada ya muda mchache alianza kulia kwa staili ya kutingisha mabega, ikabidi jamaa wamuulize vp tena kaka mbona kimya, jamaa akajibu nimeweka vibration, watu wote hoi msiban.