Wanaume tunadanganywa sana, tuna bambikiwa mimba, tunadanganywa kwa mimba feki, MP feki, rangi ya ngiozi feki, nywele feki, kucha feki, kope feki, matsabury feki, wanawake feki aka mashoga! Kwa vile wamekuwa feki hatuna namna nyingine ya kufanya, nikupiga tu!
Jaman vizaz hv watu wanaihangaikia znaa zaid ya ufalme wa Mungu
mbaya zaidi wanabebea madawa ya kulevya kwenye hayo makalio feki.
kuweni makini wanaume mengi yanabuniwa kuwatega
Ipo haja ya kubonyeza kwanza kuhakikisha.
Labda kwa mambulula tu......
mmh! sasa yote haya yanaletwa nini? na uzuri ni kwamba hawa magharibi aka wazungu wanajua kutushika aisee
mmh! sasa yote haya yanaletwa nini? na uzuri ni kwamba hawa magharibi aka wazungu wanajua kutushika aisee
Bonyeza kizenjiiiii......
Bonyeeeeeee
Nitalipatia wapi hilo nanihilo???
Nitalipatia wapi hilo nanihilo???
wapi wakati mkiyaona mnageuza shingo mpaka mnatia huruma!
Nakwambia mbona mwaka huu tuna kazi si bora mtu uweke silicon za ------ tu!!Bi shost kumbe una shepu ya kihindi kama mie lol hahhhhhaaaaha
yan hawa kina dada wanatafuta kila njia kutuvutia......kama huna mvuto huna tu...bado kidogo zitatoka papuch....