mzalendoorijino
Member
- Jan 23, 2015
- 15
- 8
Unapataja jina la Prof. Tibaijuka dunia na ulimwengu inamtambua na kumthamini kutokana na na umahili wake katika maswala ya mipango miji.
Msemo wa nabii hakubaliki kwao umezidi kujidhiilisha baada ya raisi JK kutengua uteuzi wa mwanamama msomi na mtaalam ktk maswala ya Mipango miji na badala yake kumpa nafasi Wiliam Lukuvi ambaye hana hata elimu ya secondary.
SWALI: Je, Darasa la saba Lukuvi ataweza kuvaa viatu ya Prof Tibaijuka?