Mie nilivichukia kitambo sana hutwo tuviatu na wavaaji wake wana tabia mfanano kabisaaa ninao madogo wanatwo basi ukikuta wameongozana........utacheka ukufwe
Mie nilivichukia kitambo sana hutwo tuviatu na wavaaji wake wana tabia mfanano kabisaaa ninao madogo wanatwo basi ukikuta wameongozana........utacheka ukufwe
Halafu mmepatia kweli yani hasa hutwo twa manyoya wavaaji wake wana mashauzi balaa ukute kafuga na kucha sasa ukipishana nae km kitoto cha bata kinaogelea kwenye dimbwi la tope