Mie nilivichukia kitambo sana hutwo tuviatu na wavaaji wake wana tabia mfanano kabisaaa ninao madogo wanatwo basi ukikuta wameongozana........utacheka ukufweπππππππ
Siku ya kwanza kuviona hivyo viatu nilistuka, nilijua paka kalala juu ya mguu wa msichana, kumbe fashion.
Asilimia kubwa ni viswaswadu...Mie nilivichukia kitambo sana hutwo tuviatu na wavaaji wake wana tabia mfanano kabisaaa ninao madogo wanatwo basi ukikuta wameongozana........utacheka ukufwe
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Halafu mmepatia kweli yani hasa hutwo twa manyoya wavaaji wake wana mashauzi balaa ukute kafuga na kucha sasa ukipishana nae km kitoto cha bata kinaogelea kwenye dimbwi la tope
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hatujagundua,zimekopiwa kutoka N/land zikaeditiwa kwenda kwa kiswahili.Kitu pekee ambacho wabongo tumeweza kugundua