deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,287
- 947
Ana hisa 10% TBS, nani atamzuia..?!
Ndo tatizo la serikali kuwa mfukoni mwa watu
Ana hisa 10% TBS, nani atamzuia..?!
Anywe ile mimaji yake hajipendi..Yaani jamaa bidhaa zake ni vurugu tupu, wanasema yeye hata siku moja hatumii bidhaa za viwanda vyake. Ni kati ya matajiri walioiweka serikali mfuko wa nyuma wa suruali
Jaman eeeh me huwa natumia MoShuga; mnantishaKuna alidai kuwa anamchezo wa kubadili viroba kama mchele umekwisha muda wake ana re pack kwenye viroba ambavyo tarehe ni valid.
Viko wapi mkuu?
Dah vijana wa Dar bana... Nway labda effect za kukimbia panya road..
Mo anabidhaa nyingi, na zote zina bei nafuu. Kila mtu atakula kwa urefu wa mfuko wake.Jaman eeeh me huwa natumia MoShuga; mnantisha
halafu havieleweki ni machine ya kusaga au ni chain saw.... usiombe ukute vinapanda mlima huo moshi utafikiri gari la miaka mia kumbe number inaanzia D
Hivi vigari vipya vya kichina vinavyotumiwa na bilionea Mo vinakelele kiasi kama una-presha unaweza ukapata stroke! hivi hakuna namna ya kuvifungia silencer kwenye exhaust pipe?! vyombo husika mlitizame hili.
Pia nimpongeze kwa huu mpango kabambe wa kubana matumizi na ku-maximize profit, hongera!
Huwa wanafunga zile engine za kichina ambazo ndizo hutumika kusaga unga, ku-pump maji, kuchimba visima, hutumika pia kwenye site dumpers za ujenzi, kupandisha zege kwenye maghorofa, kwenye mixer za zege N.k..
I'm an Architect.Nadhan wew ni Mhandis maana hizo terminologies ulivyozipatia najua u mtaalam. Utakuwa unajua vizuri BS 8110, pia CBR, AASHTO!
Maji ya METL huwezi kunywa yakiwa ya moto, inabidi unywe ya baridi ili ule ubaya wake usiusikie sana. METL sio kama AZAM au IPP, METL kamwe hawezi onyesha jinsi viwanda vyake vya chakula au vinywaji vinavyofanya kazi
ni ujinga wa mengi kujaza tu maji kwenye kopo na kuuza bei ghari
Jaman eeeh me huwa natumia MoShuga; mnantisha
ni ujinga wa mengi kujaza tu maji kwenye kopo na kuuza bei ghari
mi huwaga vinaniletea gundu. nikikutana nacho basi siku hiyo nux tu hata hela hupati.
Sasa ivi ni ya nani?
Mdau asante,acha nirudi kwa Bwana Sukari tu KILOMBERO kulikonilea,what i know jamaa huwa ana import sukar kisha anaipak kwa logo yakeAchana nazo huyo aliesema ni mfanyakazi wake nilikutana nae akasema hayo.
While mwenyewe Mo anajigamba ana idadi kubwa ya Watanzania amewapa ajira,jamani watu wana ngendembweMbaya zaidi wafanyakazi wake wanateseka sana unawezafanya kazi hata miaka 20 kama kibarua, ukienda kiwanda chake cha vibiriti kule mbezi jogoo ndio tabu kabusa vibaria wanadhulumiwa pesa kila siku, wanafanya jazi masaa 12 wanalipwa 3500, jmos ni nusu siku lkn kule ni full day hamna overtime kwa wafanyakazi, halafu hapeleki pesa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii hatujui kama kodi inakuwaje
halafu havieleweki ni machine ya kusaga au ni chain saw.... usiombe ukute vinapanda mlima huo moshi utafikiri gari la miaka mia kumbe number inaanzia D