Vi-Bajaji vya Mohammed Enterprises vina kelele mno!

Vi-Bajaji vya Mohammed Enterprises vina kelele mno!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,799
Reaction score
46,917
Hivi vigari vipya vya kichina vinavyotumiwa na bilionea Mo vinakelele kiasi kama una-presha unaweza ukapata stroke! hivi hakuna namna ya kuvifungia silencer kwenye exhaust pipe?! vyombo husika mlitizame hili.

Pia nimpongeze kwa huu mpango kabambe wa kubana matumizi na ku-maximize profit, hongera!
 
Sijui NEMC wapo wapi? na Wanaharakati wa Mazingira:-

High noise levels can contribute to cardiovascular effects in humans, a rise in blood pressure, and an increase in stress and vasoconstriction, and an increased incidence of coronary artery disease. In animals, noise can increase the risk of death by altering predator or prey detection and avoidance, interfere with reproduction and navigation, and contribute to permanent hearing loss
 
halafu havieleweki ni machine ya kusaga au ni chain saw.... usiombe ukute vinapanda mlima huo moshi utafikiri gari la miaka mia kumbe number inaanzia D
Huwa wanafunga zile engine za kichina ambazo ndizo hutumika kusaga unga, ku-pump maji, kuchimba visima, hutumika pia kwenye site dumpers za ujenzi, kupandisha zege kwenye maghorofa, kwenye mixer za zege N.k..
 
Hivi vigari vipya vya kichina vinavyotumiwa na bilionea Mo vinakelele kiasi kama una-presha unaweza ukapata stroke! hivi hakuna namna ya kuvifungia silencer kwenye exhaust pipe?! vyombo husika mlitizame hili. Pia nimpongeze kwa huu mpango kabambe wa kubana matumizi na ku-maximize profit, hongera!

aisee kumbe wengi tunakerwa na hizi kelele za hayo matoroli!!! kila siku nikiziona nawaambia watu ningekuwa na mamlaka ningepiga marufuku takataka hizo!
 
Hivi vigari vipya vya kichina vinavyotumiwa na bilionea Mo vinakelele kiasi kama una-presha unaweza ukapata stroke! hivi hakuna namna ya kuvifungia silencer kwenye exhaust pipe?! vyombo husika mlitizame hili. Pia nimpongeze kwa huu mpango kabambe wa kubana matumizi na ku-maximize profit, hongera!

Viko wapi mkuu?

Dah vijana wa Dar bana... Nway labda effect za kukimbia panya road..
 
Mimi vinanikera sana.....vinakera mno hebu mamlaka husika ifanyie kazi
 
Halafu hii kampuni ya Mo kwa kutumia na kuzalisha vitu vibovu na vya ajabu ajabu inaongoza
 
vinakelele kama mashine ya kukoboa dereva lazma azibe maskio mwisho wa siku
 
Hivyo vibajaji-gari sivipendi kweli. Kwanza kelele alafu sivipendi tuu.
 
Halafu hii kampuni ya Mo kwa kutumia na kuzalisha vitu vibovu na vya ajabu ajabu inaongoza

Yaani mimi nikiona nembo ya METL situmii hiyo bidhaa, huu ni ushauri nilipewa na wafanyakazi wa METL tukiwa baa fulani. Hata wafanyakazi wa METL huwa hawatumii hizo bidhaa, kuna siri kubwa. Ila kwa kweli kateka soko la watanzania wengi kwa umasikini wao, ni bei rahasi, kwa mfano maji lita moja na nusu ni mia sita tu wakati ya kilimanjaro ni buku jero.
 
Yaani mimi nikiona nembo ya METL situmii hiyo bidhaa, huu ni ushauri nilipewa na wafanyakazi wa METL tukiwa baa fulani. Hata wafanyakazi wa METL huwa hawatumii hizo bidhaa, kuna siri kubwa. Ila kwa kweli kateka soko la watanzania wengi kwa umasikini wao, ni bei rahasi, kwa mfano maji lita moja na nusu ni mia sita tu wakati ya kilimanjaro ni buku jero.
Nasikia anahisa 10%, hivi hii ni kweli..?;
 
Yaani mimi nikiona nembo ya METL situmii hiyo bidhaa, huu ni ushauri nilipewa na wafanyakazi wa METL tukiwa baa fulani. Hata wafanyakazi wa METL huwa hawatumii hizo bidhaa, kuna siri kubwa. Ila kwa kweli kateka soko la watanzania wengi kwa umasikini wao, ni bei rahasi, kwa mfano maji lita moja na nusu ni mia sita tu wakati ya kilimanjaro ni buku jero.

ni ujinga wa mengi kujaza tu maji kwenye kopo na kuuza bei ghari
 
Duh we acha tu nimekutana navyo, huwa vinapita niishipo vina makelele hata mashine ya kusaga unga ina afadhali.
Afu eti ndo ashindane na Azam.....
Hata malori yake ni hovyo sana.
Japo sina hata baiskeli ila kuwa na lori kama lile ni kerooo
 
Back
Top Bottom