Yaani mimi nikiona nembo ya METL situmii hiyo bidhaa, huu ni ushauri nilipewa na wafanyakazi wa METL tukiwa baa fulani. Hata wafanyakazi wa METL huwa hawatumii hizo bidhaa, kuna siri kubwa. Ila kwa kweli kateka soko la watanzania wengi kwa umasikini wao, ni bei rahasi, kwa mfano maji lita moja na nusu ni mia sita tu wakati ya kilimanjaro ni buku jero.
kama nini labda kaka ambacho kibovu tukiepuke kutumia unatushauri
Halafu havina mwendo kabisa, vikikaa mbele yako ni kero.Vingekua havina kelele vingekuwa vizuri sana tatizo vinaunguruma mno!
Zile juice zina nini kwani?Mfano Mzuri ni juice zake, usijaribu kunywa.
Zile juice zina nini kwani?
ni ujinga wa mengi kujaza tu maji kwenye kopo na kuuza bei ghari
Ndio hivyo, vinakelele kama machine gunJamani naomba kuuliza, ni vile vyenye tairi tatu na bodi kama fuso? Nakutana navyo sana hapa Quality Center vinaunguruma moshi mweusiiiii na mwendo slow yaan kelele kama mashine ya kukoboa mahindi
Mengi alishauza brand ya maji ya kilimanjaro, siyo yake tena
Ana hisa 10% TBS, nani atamzuia..?!Vile havifai kabisa kwa afya zetu vinatoa sana moshi na mikelele kibao
Kuna alidai kuwa anamchezo wa kubadili viroba kama mchele umekwisha muda wake ana re pack kwenye viroba ambavyo tarehe ni valid.
ni ujinga wa mengi kujaza tu maji kwenye kopo na kuuza bei ghari