Vi-Bajaji vya Mohammed Enterprises vina kelele mno!

Vi-Bajaji vya Mohammed Enterprises vina kelele mno!

Mfano Mzuri ni juice zake, usijaribu kunywa.


Kaka hii kweli nilikunywa moembe mungu wangu sirudii tena, Kwanza nilipata shida kuimaliza na nikile kodogo lakini kina harufu ya madawa kibao..
 
mi huwaga vinaniletea gundu. nikikutana nacho basi siku hiyo nux tu hata hela hupati.

Wagalatia mna chuki na Mali za waislam yaani hamna raha kabisa maskini wee sasa mbona mtapata presha za milele maana waislam ndio tunaoshikilia uchumi Wa nchi hii

Ila Bahresa ndo kawafunga midomo hamna la kumrudisha Nyuma bado kidogo tu ataanza kuwauza mpaka nyie wagalatia chezeaa
 
Wagalatia mna chuki na Mali za waislam yaani hamna raha kabisa maskini wee sasa mbona mtapata presha za milele maana waislam ndio tunaoshikilia uchumi Wa nchi hii

Ila Bahresa ndo kawafunga midomo hamna la kumrudisha Nyuma bado kidogo tu ataanza kuwauza mpaka nyie wagalatia chezeaa

Mkuu kichwa ulichopewa na muumba wako hukupewa ufugie nywele tu bali ukitumie pia kwa kuwaza yaliyo ya maana,ficha ujinga-wako!!!
 
Last edited by a moderator:
nimeona picha zake sidhani kama vinauimara sana...vichafua mazingira kwa moshi wake na makelele
 
Maji ya METL huwezi kunywa yakiwa ya moto, inabidi unywe ya baridi ili ule ubaya wake usiusikie sana. METL sio kama AZAM au IPP, METL kamwe hawezi onyesha jinsi viwanda vyake vya chakula au vinywaji vinavyofanya kazi

Mkuu upo sahihi kabisa, unywe ya baridii tena kunywa kwa mkupuo mmoja unless ukirudia yanakuwa na ladha mbaya sana, hivi TBS haya wanayaona kweli?
 
Ingekuwa vinamilikiwa na bwana machache wote mngevipenda humu ila kwasababu tu mmiliki ni Mohammed baasi
We kwa akili yako unafikiri ile ni kampuni ya mohammed, kachukua mkopo benki ya mkombozi na hajarudisha.., asubiri kufilisiwa tu..
 
Na sijui kwanini vinapata usajili wa namba za magari wakati ni bajaji tu zile... kelele tu
 
Mkuu upo sahihi kabisa, unywe ya baridii tena kunywa kwa mkupuo mmoja unless ukirudia yanakuwa na ladha mbaya sana, hivi TBS haya wanayaona kweli?

Afadhali mkuu na wewe umejua hilo, hao TBS hawamwezi ana nguvu sana kwa hawa ma CCM, wanaogopa kukosa mchango wake wa pesa kipindi cha uchaguzi
 
Ingekuwa vinamilikiwa na bwana machache wote mngevipenda humu ila kwasababu tu mmiliki ni Mohammed baasi

mawazo ya mtu aliye kufa kimawazo haya aisee! Baki na udin wako jua weye usie tumia akil, kwani ni nani asiye jua kwamba vitakataka vyake vina kelele??sijui hata kaviokota wapi.
 
Bora tumeona wengi hivi vi bajaji vinakelele kwenye masikiio kama mbu wa muhimbili
 
Hivi vigari vipya vya kichina vinavyotumiwa na bilionea Mo vinakelele kiasi kama una-presha unaweza ukapata stroke! hivi hakuna namna ya kuvifungia silencer kwenye exhaust pipe?! vyombo husika mlitizame hili.

Pia nimpongeze kwa huu mpango kabambe wa kubana matumizi na ku-maximize profit, hongera!

Mm vinanikera kweli.. ila inaonekana jamaa ameviagiza ktka harakati za kubana matumizi..inatumia maji mengi kuliko mafuta.
 
Wekeni picha wakuu huku kibondo hatuvijui
 
Wagalatia mna chuki na Mali za waislam yaani hamna raha kabisa maskini wee sasa mbona mtapata presha za milele maana waislam ndio tunaoshikilia uchumi Wa nchi hii

Ila Bahresa ndo kawafunga midomo hamna la kumrudisha Nyuma bado kidogo tu ataanza kuwauza mpaka nyie wagalatia chezeaa[/QUOT

acha udini wewe..
 
Back
Top Bottom