Very few marriages live a happily ever after life

Very few marriages live a happily ever after life

Yule mama ana mpenda sana play boy askofu haya hayamsumbui. Kumbe kuna ya pili!!
Za chini ya kapeti ni kwamba zipo video 4 mpyaaa, watu walimseti manzi akajilengesha kwa baba Askofu, na ile sio mara yake ya kwanza kujirekodi nae. . . . .
 
Za chini ya kapeti ni kwamba zipo video 4 mpyaaa, watu walimseti manzi akajilengesha kwa baba Askofu, na ile sio mara yake ya kwanza kujirekodi nae. . . . .
Yule ni baba askofu katika ubora wake wa kucheza sindimba. Anakataa bure lakini ukweli anaufahamu
 
Yule ni baba askofu katika ubora wake wa kucheza sindimba. Anakataa bure lakini ukweli anaufahamu
Pale nimewaza mambo matatu

1. Ni either hii video ilirekodiwa kitambo na mama ilishamfumania mda mrefu na wakayamalizaga kitambo ndio maana aliamua kumuunga mume wake mkono
2. Aliamua kumtetea na kuungana nae ili ugali uende kinywani na kuendelea kubakia kama mke wa baba askofu

3. Waliamua kutengeneza picha kama mama ameamua kuside na askofu na hakuna baya lolote meanwhile nyumbani kunafukuta kuhusiana na hili swala

Kwa kifupi tuipe mda mchache tu tutaskia majibu ya moja ya hizo theory hapo juu
 
Pale nimewaza mambo matatu

1. Ni either hii video ilirekodiwa kitambo na mama ilishamfumania mda mrefu na wakayamalizaga kitambo ndio maana aliamua kumuunga mume wake mkono
2. Aliamua kumtetea na kuungana nae ili ugali uende kinywani na kuendelea kubakia kama mke wa baba askofu

3. Waliamua kutengeneza picha kama mama ameamua kuside na askofu na hakuna baya lolote meanwhile nyumbani kunafukuta kuhusiana na hili swala

Kwa kifupi tuipe mda mchache tu tutaskia majibu ya moja ya hizo theory hapo juu
Kwenye ndoa kuna mengi sana. Mfano ninakupa kuna mmoja wa mawaziri wakuu wastaafu alialikwa kwenye graduation ya Jangwani girls kama mgeni rasmi. Alikaona kadada ka form four mzee moyo ulipenda. Alimuachia mlinzi wake kazi ya kufuatilia mpaka mawasiliano na binti yakapatikana.

Majibu yametoka ya form four binti alisomea u nesi. Amemaliza mzee alimnunulia nyumba mbili. Mtaani watu walimfinya jinsi u nesi unavyo lipa Ulaya ambane waziri amtoe.

Wakati huo ilikuwa karibu na uchaguzi, waziri ushirikiano umepungua. Yule dada aliprint picha za mahaba na mtoto wake akazipeleka kwa mke wa waziri mkuu. Mama alipanick, mzee alimuweka sawa akamuambia uchaguzi unakuja sasa unataka upinzani wapate sababu? Tushirikiane kumtengenezea binti safari aondoke.

Visa ilitafutwa ya binti na mwanae na pesa juu wakaondoka.
 
Kwenye ndoa kuna mengi sana. Mfano ninakupa kuna mmoja wa mawaziri wakuu wastaafu alialikwa kwenye graduation ya Jangwani girls kama mgeni rasmi. Alikaona kadada ka form four mzee moyo ulipenda. Alimuachia mlinzi wake kazi ya kufuatilia mpaka mawasiliano na binti yakapatikana.

Majibu yametoka ya form four binti alisomea u nesi. Amemaliza mzee alimnunulia nyumba mbili. Mtaani watu walimfinya jinsi u nesi unavyo lipa Ulaya ambane waziri amtoe.

Wakati huo ilikuwa karibu na uchaguzi, waziri ushirikiano umepungua. Yule dada aliprint picha za mahaba na mtoto wake akazipeleka kwa mke wa waziri mkuu. Mama alipanick, mzee alimuweka sawa akamuambia uchaguzi unakuja sasa unataka upinzani wapate sababu? Tushirikiane kumtengenezea binti safari aondoke.

Visa ilitafutwa ya binti na mwanae na pesa juu wakaondoka.
Hahah duh, hiyo ni mechezo ya kimafia
 
Kwenye ndoa kuna mengi sana. Mfano ninakupa kuna mmoja wa mawaziri wakuu wastaafu alialikwa kwenye graduation ya Jangwani girls kama mgeni rasmi. Alikaona kadada ka form four mzee moyo ulipenda. Alimuachia mlinzi wake kazi ya kufuatilia mpaka mawasiliano na binti yakapatikana.

Majibu yametoka ya form four binti alisomea u nesi. Amemaliza mzee alimnunulia nyumba mbili. Mtaani watu walimfinya jinsi u nesi unavyo lipa Ulaya ambane waziri amtoe.

Wakati huo ilikuwa karibu na uchaguzi, waziri ushirikiano umepungua. Yule dada aliprint picha za mahaba na mtoto wake akazipeleka kwa mke wa waziri mkuu. Mama alipanick, mzee alimuweka sawa akamuambia uchaguzi unakuja sasa unataka upinzani wapate sababu? Tushirikiane kumtengenezea binti safari aondoke.

Visa ilitafutwa ya binti na mwanae na pesa juu wakaondoka.
Dah alooo sema muhimili wa ndoa na ili idumu ni mwanamke kama ukipata mwanamke kichakicha wala c mstaarabu kesho tu kaenda kwa mchungaji na ukoo kuwaambia. Nimetambua sasa kwañn Mungu alitaka wanawake wawe na Utii kwa wame zao
 
Hatari sana... yataka moyo...

Sky Eclat wewe una moyo huo? Na unweza kua ndani ya ndoa, then ujue mtu wako anamahusiano mengine... and you just let it slide?



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom