Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Chumvi chumvi nitalambaaaHe he he usijali, chumvi ntakupa mbona
Wazee ba Bunju... Chumvi chumvu nitalamba
Chumvi chumvi nitalambaaaHe he he usijali, chumvi ntakupa mbona
Ndo napokupendea hapo. Tukutane Hisaje baadaye, au twende fyatanga?Chumvi chumvi nitalambaaa
Wazee ba Bunju... Chumvi chumvu nitalamba
Sehemu zote hizo hazina vyumba vya kulala wageni wanaotokea Dar wakielekea Dar...Ndo napokupendea hapo. Tukutane Hisaje baadaye, au twende fyatanga?
Sehemu zote hizo hazina vyumba vya kulala wageni wanaotokea Dar wakielekea Dar...

Mwalimu wangu kipenzi RRONDO uko wapi baba, kwakweli alichokufanyia huyu mwanamke mungu anamuona!!Teh morning. Ujue huu ndo muda wa wewe kuwa karibu na mwalimu wako. Umtie moyo, umfariji, usimuache mpweke, unajua kusalitiwa kunavyouma. Asije akapitiwa na shetani, akaji-murder
Ataweza hata kunywa mwenyewe kweli au umnyweshe tuMwalimu wangu kipenzi RRONDO uko wapi baba, kwakweli alichokufanyia huyu mwanamke mungu anamuona!!
Kuja unywe juisi upunguze machungu.
Kwakweli siwezi kumuacha mwalimu wangu apate shida namna hiyo, ananifaaga sana, hivyo wakati kama huu ndio nami inabidi nirudishe fadhila.Amuache mwalimu wake afe kwa presha? Ungekuwa unamjali kweli ungemuumiza wewe? Mtu ulipata a good man ili kujihangaisha tu
Kweli huu ni muda wa wewe kuwa faraja yakeKwakweli siwezi kumuacha mwalimu wangu apate shida namna hiyo, ananifaaga sana, hivyo wakati kama huu ndio nami inabidi nirudishe fadhila.
Unampenda eeeh!! Basi you have the funiest way of showing it.
Sasa si mpaka tuingie ndio tujifunze.Creative...nimependa but bado dada zetu wengi wao hawapati funzo nao waingia huko huko
My heart is going off!!Unapopatwa na shida kubwa usiku wa manane
Jirani yako ndiye wa kwanza kukusaidia
Hata katika vitabu vya Mungu ametuasa, mpende jirani yako kama unavyojipenda
Mimi na Wewe ni kitu kimoja, haina maana kunyimana
Switch it on. Utamnyimaje kiberiti jirani yakoMy heart is going off!!
Hahaaaa!! Wageni wanaotoka dar wakielekea dar, wataalamu wa kulala vyumba vya wageni wakati wao ni wenyeji.Sehemu zote hizo hazina vyumba vya kulala wageni wanaotokea Dar wakielekea Dar...

Mweeeeh!!Switch it on. Utamnyimaje kiberiti jirani yako
Sidhani kama anaweza, itabidi tu nimnyweshe.Ataweza hata kunywa mwenyewe kweli au umnyweshe tu
Em kamtie moyo mwalimu hukoMweeeeh!!
Ukianzaga chingereza chako huwa naamini unakuwa ushaloa kule kwenye via vya utamu. Ana heri mkubwa apitaye njia hiyo. Nami ntamwomba Bwana anijaalie siku moja nipite kwenye njia yako. AminaUnampenda eeeh!! Basi you have the funiest way of showing it.
"Akamtie" tena?? Afanaaleki, kifo hakina breki!!!Em kamtie moyo mwalimu huko
Kumbe ndio kamaanisha itabidi leo jioni nianze kuwakagua nirudishe mrejesho