RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,769
- 129,513
Muongeze atoto upande wa Liverpool maanake atashangilia ushindi kuliko Klopp!Hahahahahaha...heee mmegeuza thread yangu mahakama, mitongozo corner, duh!
Ila familia ya atoto ni ya kuwekwa kwenye maombi maalum!!!!
Leo kutakuwa na mechi kali;
Kombe - Honey Faith
Kati ya;
Liverpool ( Asprin )
NA
Manchester United ( RRONDO )
Na mshindi ndo baba kijacho.
Wenu,
Mkemia Mkuu!
10/17/2016.
Bado masaa mawili majibu yatapatikana hapa hapa...sitaki kupingwa kama matokeo ya uraisi!!!