Bidada mbona hivyo kosa langu nini?? Bi Suu ila pole kwa kukalili mimi sinatena CELICA uliza kingine na Multiple ID yako sasa sijui utasema nini nina miliki Gari ya hela mingi tomboka kama naweza baelesee Kipaji Halisi amu,wasikutishe mimi niwako mahabuba! Smile Nivea nipo ulinzi mia!!
subiri aje huyo KakaKiiza atakutoaje nishai humjui anasuta hamna mfanoHivi na wewe katika kupitia kwako toka post ya kwanza mpaka hapa unaweza kunionyesha mahali nilipoandika kwamba wewe ndio mmiliki wa cellica? na hata kama unamiliki je hapa JF ni wewe peke yako? Washobokaji wanajistukia wenyewe makelele kibao!
Heri huyu verossa...wengi wa siku hizi ni Vitz na Duet mangi!!!
We mrembo upo? . . . . . . Long time not see ya!!
***VEROSSA***
Inside a Verossa you'd think its some sleek automobile
There she lost her virginity, her dignity and her guile,
Inside a Verossa, she hopped in a lift home
There she was promised a job, cash and a lifestyle with its entire epitome,
Inside a Verossa he took off her clothes and wit them her dreams
There we lost an MD, a sister and a fine Mrs. Me,
Inside a Verossa an AIDS victim was added to the count
He seemed too good, healthy and well, he drives a Verossa he just cant be!
Inside a Verossa she gave in to his touch and caressing
His strokes, electric, sent shocks of pleasure through her vein,
Inside a Verossa he slowly took off her top and
As it came off her head, off also went all warnings from her mama,
Inside a Verossa he unbuttoned her trouser jeans
Letting go of it so easily like one changing from dirty clothes,
Inside a Verossa, does your mama know?
That you were in the front seat, now you are both at the back and the car aint go,
Inside a Verossa like its yours young girl
Legs you spread n let him take it off girl,
Inside a Verossa his willy unprotected you let slip in
Fun wasnt it yeah...as it went out and in,
Inside a Verossa it took only three weeks to realize
That you really treasured the monthly breeze,
Inside a Verossa you missed them and what did you think
No I can't be...n the sticks you went to pick,
Inside a Verossa, there you had your first test
Wasn't it what you expected? Congrats, you passed the test,
Inside a Verossa, you thought of calling the special man
Alas! No contacts to let him know what he'd done,
Inside a Verossa no! on foot you went to the clinic
You are infected, pregnant and 3 supplementary exams to take,
Inside a Verossa you'd think its some sleek automobile
There she lost her virginity, her dignity and her guile!!!
Inside a Verossa he took off her clothes and wit them her dreams
There we lost an MD, a sister and a fine Mrs. Me.
Wasalaam wapendwa,
Mentor!
Napita....hebu nielekezeni hoja mchanganyiko ni wapi?
Usipoteze muda. Twende PM nikakupe details zake. Ndo ujue ukungwi ni kwenye keyboard tu.Hahahahahhhh
I wish to know the person behind that ID!
Dah . . .kweli JF ni zaidi ya niijuavyo!
noooo cheki star tv mashindano ya kubeba wifeAlishakuzuru alipokuwa anawazuru wengine??!
Mentor tuheshimiane ujue mi nakuonaga kama catalyst fulani tuheshimiane kufunua midono wengine sekunde tu na hiko kijeba chako kinachokufata kigamboniii kiambieeee kikuambieeee meeeeengiiiii
Hahahahaha dodo thread lako leo limewatoa watu mapovu.......
Bakini na verossa zenu, sie tunatesa na bajaji, zinaingia kitaa mpaka uswazi. Lita moja inakimbia not les than 28kms.....
Hommie, mie nimekuja kujifunza methali, nahau, misemo na tamathali za semi.
Nikumbushe leo jumangapi?