Hahahaaaa!! Yaani Mentor we ni konyo!! Sasa tatizo kati ya wote hapo hakuna mwalimu hata mmoja, RRONDO alishanitenga eti sina eksipozha, mara oooh napenda sana pesa, kwahiyo ilibidi niishie kummezea mate tu.Huyu ndio atoto:
1. Alianza Kaizer (huyu jamaa mbayaaa!!!!) eti anamu-wish shemejie hepi besdei.
NB: Kwenye hii thread kataja watu wooooooote mimi sikutajwa. (Happy birthday atoto!)
2. Akaja ibra87 akitamka wazi kuwa moyoni mwake jina la atoto limeandikwa..sijui kama bado limefutika.
Page 18 ila atoto bado akamtolea nje. (Jina lako Limeandikwa Moyoni Mwangu Atoto)
3. Akaja simbilisi mwingine aliyeona ataje watatu kabisa. Anajiita Thanks for giving! (Natangaza nia ya kunasa wachezaji hawa maarufu; mwallu, atoto na miss chagga)
4. Kuna huyu mangi mwenzangu kiwatengu alikuja na swagga za kuzunguka mbuyu...sijui naye alifikia wapi...(Wonders! Kumbe Atoto ni mzuri hivi?)
Cc: shansarie
5. Akamalizia jamaa anajiita jacobian! avutiwa na uandishi tu lakini anaamini ni wazuri sana... (Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga)
Bado atoto anajitoa fahamu!
NB: Katika thread zote hizo nimeona sura ya mtu ambaye hasemi ila utamuona tu popote atakapotajwa atoto lazima awepo...huenda anatamani kusema ila maji mengi mdomoni, au bado anasubiria fursa na yeye ajitose! Hata kwenye hii thread ameshapita na kusema neno (ingawa tena atoto kampush away kwa jibu lake). Sitamtaja ila nitakaye m-cc ndiye!
Cc: RRONDO.
Duuuh imekuwaje hii 'mention' sijaiona! Yaani mwenyewe naona namendea kimya kimya kumbe kuna ma-detective akina Mentor wananiona!
Nimerudi na ushahidiNgoja nianze kuitafuta thread husika..nami kama nakumbuka kitu kama hiki!!!
Nitakulaumu sana madam, why hukuniita?
Hapo huoni unanisingizia tu, hapo sijaona kabisa aloonyesha interest.Nimerudi na ushahidi
Haya hapa kataa
View attachment 418171 View attachment 418172 View attachment 418175
Nakumendea wewe, nishajua kituo chako cha kazi, subiri ugeni. Nishajifunza siku hizi straight to the point, mambo ya salamu siku nzima nimeshaacha.Unammendea nani kimya kimya RRONDO jamani, mbona unataka kunisababishia huu usiku uwe mrefuu namna hiyo!
Duuuh imekuwaje hii 'mention' sijaiona! Yaani mwenyewe naona namendea kimya kimya kumbe kuna ma-detective akina Mentor wananiona!
Ndo hapo sasa, wananibadilishia tu vitengoNa wanakuonea kweli...wewe si ulipewa mwalimu wa nidhamu!???
Wewe ulitaka wa Idara yako, Mgirik kaonesha nia dhabiti kaka wa watu, lakini bado hujamfikiria.Hapo huoni unanisingizia tu, hapo sijaona kabisa aloonyesha interest.
Uwiiiii Mentor yaani ukisikia kuamka kesho saa5 ndio leo, nitalala usingizi kama mtoto mdogo, maana nimemmendea RRONDO muda mrefu leo atimae feelings zimekuwa mutual.Nakumendea wewe, nishajua kituo chako cha kazi, subiri ugeni. Nishajifunza siku hizi straight to the point, mambo ya salamu siku nzima nimeshaacha.
Mimi nawakilisha kundi la 'secrete admirers' ambao wako discouraged na kupenda kwake pesa! Ila naona anaanza kubadilika 'we' can reconsider!Hebu nisaidie kumjibu hapo juu...ni kweli ulim-diskwalifai!???
Ndo hapo sasa, wananibadilishia tu vitengo
Nilikuwa nimeanza kusinzia ngoja kwanza niamke nipate kahawaKwakweli kwa RRONDO kigezo kinabaki kimoja tu 'awe mwanaume'hayo ya mwalimu sijui nini hata sitaki kuyasikia.
I wish ungejua hicho nilichokimaanisha hapo kilivyo na uzito, that means yo the whole package of a man.akutukanae hakuchagulii tusi!
Siku hizi nimeacha salamu....naingia moja kwa moja.