Verossa

Mchakato umeanza mkuu.....umeanza....amini amini!


 
Last edited by a moderator:
Uwe makini tu mana mie naweza ndio nikawa mkaguzi mkuu nikakukagua kisawasawa,

Sorry nimesahau ............................kumbe mtu mzima hatishiwi nyau lol!


I am the only authorised dealer wa ukaguzi baada ya Asprin kustaafu.

EPUKA VISHOKA....

Copy: Baba V
 
Last edited by a moderator:
Uwe makini tu mana mie naweza ndio nikawa mkaguzi mkuu nikakukagua kisawasawa,

Sorry nimesahau ............................kumbe mtu mzima hatishiwi nyau lol!

hahahaha wewe.....come zis way fasta nemic4u
 
Last edited by a moderator:

ish!
sasa mara hii dadangu amekuwa uchuro
afanaleki kufa hakuna breki
post hii
imfikie Asprin kwa hisani ya nke wa ujana wake cacico
 
Last edited by a moderator:
we mwana we! watoto wabaya sana nyie! mmmmmhhhhhh pole zake bi suuu!
 
ish!
sasa mara hii dadangu amekuwa uchuro
afanaleki kufa hakuna breki
post hii
imfikie Asprin kwa hisani ya nke wa ujana wake cacico

Umenielewa lakini...??!

Ivi dada ako ni yupi maana na mm nshapita kwingi naogopa kutaja jina nkawa nshakosea...
 
Last edited by a moderator:
ish!
sasa mara hii dadangu amekuwa uchuro
afanaleki kufa hakuna breki
post hii
imfikie Asprin kwa hisani ya nke wa ujana wake cacico
hakika mke mwenza nimeamini watu wabaya sana! tunda alilila tena kwa miguno! leo anammwaga mwenzie hadharani mchana kweupeeeeeeeee na simba akizaa! mkemwenza niambie mabasi ya kuja kwenu, asubuhi nitafika kuchukua mhutasari wa hii madiskasheni! Asprin mimi ni wako hata ukikosa verossa!
 
ahahahhahahhahah watu wana roho za paka asee
huyu asupurini huyu!kwa kweli mke mwenza usimwache hata kwa greda!
 
Umenielewa lakini...??!

Ivi dada ako ni yupi maana na mm nshapita kwingi naogopa kutaja jina nkawa nshakosea...
dadake ni Bi Suu! ni mimi tu! ni mimi wa kuwaleteeni habari! hivi snowhite umenionea wapi gfsonwin, muite harakaaaaaaaaa kwa muhtasari wa hii makitu! mwambie Bi Suu kaumbuliwa mchana kweupeeeeeeee, kabla hata kongamano la waheshimiwa halijahitimishwa!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…