Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Hatimae maombi ya wengi yametimia sasa kijana wetu vengu amekula pipa
kuelekea hukooooo appolo kwa wengi na wachache mlio dar ...habari zinasema
kijana yuko na wasaidizi watatu akiwemo dk anaemsaidia akiwa huko
ukiwa kama mtanzania sla zako ni muhimu zaidi baada ya kuomba hili tumwombee
perdiem alizopewa zisimkatikie akiwa bado anauguzwa huko
kila la kheri br vengu
polen sana kwa wasaanii na watanzania kwa kufiwa na mzee wetu wa siku nyingi kwenye usanii
kuelekea hukooooo appolo kwa wengi na wachache mlio dar ...habari zinasema
kijana yuko na wasaidizi watatu akiwemo dk anaemsaidia akiwa huko
ukiwa kama mtanzania sla zako ni muhimu zaidi baada ya kuomba hili tumwombee
perdiem alizopewa zisimkatikie akiwa bado anauguzwa huko
kila la kheri br vengu
polen sana kwa wasaanii na watanzania kwa kufiwa na mzee wetu wa siku nyingi kwenye usanii