Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,684
- 9,912
Jamani mwageni nondo basi
Sema Askpfu Kilaini alitumbuliwa pale Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.Jamani mnaojua zaidi mwageni facts hapa. Nahisi story ya vatican ni tamu sana. Kuna kipindi Askofu Kilaini alikuwa anatoa kupitia redio Tumaini ila kwa bahati mbaya kutokana na majukumu nilikuwa nakosa vipindi vingi. Kujeni jamani!
Kwahiyo hiyo maktaba nani anaihudumia..na kwanini iitwe maktaba kama hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia?Huo mji una maktaba kubwa sana ambayo ni kati ya sehemu za siri kabisa dunia hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kwenye hio maktaba
Mkuu kwani kuzaana ni dhambi?Iko hivi, Vatcan Ni mji ambao wanaishi masister na mapadre kwa kiasi kikubwa na raia WA mji huo huwa hawatakiw kuongezeka wapo elf moja Tu... Na akifariki mmoja wanamreplace na wote wanaokaa kule Wako appointed... Ni mji mtakatifu ambao kama nlivosema hakuna anaezaliwa kule.. Maana wanaishi mapadre na maccter Tu japo huduma za jamii karibu zote zipo
Umeuliza swali au umechangia hoja..Ni kweli kuwa kiongozi wake ni mmoja wa viongozi wa Freemason?
Wote wapo kikazi zaidi. Ukimuona mtoto kendal kuhijiKwa hiyo wanaongezekaje, inamaana raia wa vatican sio wazawa?
Ukiitwa kilaza utachukia?Umeuliza swali au umechangia hoja..
Wote wapo kikazi zaidi. Ukimuona mtoto kendaKwa hiyo wanaongezekaje, inamaana raia wa vatican sio wazawa?
Nani kakataliwa kwani
Ni kweli kuwa kiongozi wake ni mmoja wa viongozi wa Freemason?
unataka kujiunga na magaidi?Kujiunga na oic
Jibu lile swali nililokuuliza...Ukiitwa ****** utachukia?
Kina nani..??? Maana wachangiaji ndo sisi...Ila tumeamua kuwapuuza wale wote wenye stori za migahawani..nHuo ndio ukweli ila inafichwa.subiri waje.
.....au katumwa rozari.Hawazaliani pale.
Wote wapo kikazi zaidi. Ukimuona mtoto kenda
kuhiji
Sioni sababu ya kubishana na mpuuzi wakati nilichoandika kinajielezaJibu lile swali nililokuuliza...
Kinajieleza..??? Ulishawahi kuugua kichaa..??Sioni sababu ya kubishana na mpuuzi wakati nilichoandika kinajieleza