DuuuuhVijinchi vidogo dogo tena maskini vina hulka ya majigambo usiseme. Oh we are greatest nation on earth : barabara mbovu, ajira mashaka, afya mgogoro, ufisadi balaa, makazi duni, utawala hovyo etc etc
"Kama tissue"-Mh.Ester BulayaMaghembe ni mojawapo ya mawaziri wepesi
Tanzania ina hulka za Eritrea,majigambo mengi wakati wanagalagala kwenye kunguniVijinchi vidogo dogo tena maskini vina hulka ya majigambo usiseme. Oh we are greatest nation on earth : barabara mbovu, ajira mashaka, afya mgogoro, ufisadi balaa, makazi duni, utawala hovyo etc etc
Naye ni kituko eti ni Profesa! Maprofesa wa TanzaniaMaghembe ni mojawapo ya mawaziri wepesi
Ni ajabu na kweli!Vijinchi vidogo dogo tena maskini vina hulka ya majigambo usiseme. Oh we are greatest nation on earth : barabara mbovu, ajira mashaka, afya mgogoro, ufisadi balaa, makazi duni, utawala hovyo etc etc
Siamini kwamba tumefikia level hii. Hivi mtalii anayechangia 500 USD kwenye pato la taifa na anayechangia 10,000 USD hawaitaji kuthaminiwa kila mmoja kwa nafasi yake.Katika taarifa ya habari ya star TV prof maghembe amesema Tanzania inahitaji watalii wa hadhi ya juu na sio masikini(wa bajeti)
Watanzania tuna mbwembwe,huu uchumi unaochechemea ndio tunaoringia!??
Vijinchi vidogo dogo tena maskini vina hulka ya majigambo usiseme. Oh we are greatest nation on earth : barabara mbovu, ajira mashaka, afya mgogoro, ufisadi balaa, makazi duni, utawala hovyo etc etc
Katika taarifa ya habari ya star TV prof maghembe amesema Tanzania inahitaji watalii wa hadhi ya juu na sio masikini(wa bajeti)
Watanzania tuna mbwembwe,huu uchumi unaochechemea ndio tunaoringia!??
Kamuulize anko magu...N.B:Kenya wanaokimbiza kwenye uchumi afrika mashariki na kati wamewapokea hao watalii kwa kutoweka VAT,Tanzania tunakosea wapi?