Nadhani ndio hii
hapa wamefanya mapenzi si wimbo doh mr.p kafaidi sanaSi mbaya... Aongeze bidii zaidi..
Hii ngoma ndio ya mwaka 2017....
Mpaka ss hivi hakuna ngoma kali kama hii..
Vanessa ndio msanii wa kwanza kuitendea haki collabo ya kimataifa..
Hii ngoma sio ya sayari hii
Sent from my SHV-E330L using JamiiForums mobile app