Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 628
- 1,648
Huyu dada tulikubaliana penzi la kisela kama Vanessa na FA. Tena akasema hataki kupendwa wala kuonewa wivu. Kibaharia nikajua ana mwamba so coz mi sina future nae fresh ntagusa wororo nipite hivi. Ajabu ameanza kunifatilia mambo yangu.
Akikuta naongea na simu muda mrefu hasa usiku anaanza kulalamika naongea na nani usiku wote au nna wananwake wengine. Mwanzo nilikuwa namkumbusha mimi na yeye hatuna feelings toward each other lakini sasa namuangalia tu. Kiufupi sina time nae na kashaanza kuwa kero kwa upande wangu.
Mimi ninae mchumba ambae ni engineer nilisona nae na naogopa asije akafatilia akawasiliana nae akaniharibia trust niliyoijenga huko maana babe wangu yuko mkoa kikazi. Na mie nipo mkoa pia kwa hiyo sasa nataka nimtemr lakini anajua napokaa na nikimtema lazima atatimba kwangu, hofu kuna majirani wanamjua mamsap ikitokea kakiamsha lazima reporter wafikishe chap.
Natamani nihame kwa ajili yake aisee.
Akikuta naongea na simu muda mrefu hasa usiku anaanza kulalamika naongea na nani usiku wote au nna wananwake wengine. Mwanzo nilikuwa namkumbusha mimi na yeye hatuna feelings toward each other lakini sasa namuangalia tu. Kiufupi sina time nae na kashaanza kuwa kero kwa upande wangu.
Mimi ninae mchumba ambae ni engineer nilisona nae na naogopa asije akafatilia akawasiliana nae akaniharibia trust niliyoijenga huko maana babe wangu yuko mkoa kikazi. Na mie nipo mkoa pia kwa hiyo sasa nataka nimtemr lakini anajua napokaa na nikimtema lazima atatimba kwangu, hofu kuna majirani wanamjua mamsap ikitokea kakiamsha lazima reporter wafikishe chap.
Natamani nihame kwa ajili yake aisee.