Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #81
AMEN BROkumbe dini zenu ndo zinavosema , usizini j2, j5 ya majivu , mwezi mtukufu , usizini kipindi cha kwa resma , yan mnaogopa cku na kusahau kuwa mwili ni hekalu la roho mtakatifu kila dakika na kila cku linapaswa liwe safi, OLE WENI VIONGOZI WANAFIKI, viongoz wao hulala huota ndoto
ASANTE KWA INJILI YA SIKU ZA MWISHO