Valentines Day na Siku ya Majivu...

Valentines Day na Siku ya Majivu...

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,561
Naendelea kuwakumbusha tu kwamba valentine day inaangukia jumatano ya majivu..
Ukizini una kesi na Mungu wako
KUZINI mpaka PASAKA iishe
Mtapambana na HALI ZENU tu​
 
b60bec38d51e9435e916940b3c8de726.jpg
 
Naendelea kuwakumbusha tu kwamba valentine day inaangukia jumatano ya majivu..
Ukizini una kesi na Mungu wako
Washamba ndio wanaoonyeshaga upendo siku ya Valentine. Hao hao ndio huzini siku hiyo.

Sisi wajanja kwetu kila siku ni Valentine's day. Upendo 24/7 siku 365 za mwaka.

Anyways hata ukizini leo una kesi na Mungu na haitakuwa kesi ndogo kuliko ya yule atakaezini siku ya Valentine. Zote ni sawa tu mbele ya uso wa Mungu.
 
Washamba ndio wanaoonyeshaga upendo siku ya Valentine. Hao hao ndio huzini siku hiyo.

Sisi wajanja kwetu kila siku ni Valentine's day. Upendo 24/7 siku 365 za mwaka.

Anyways hata ukizini leo una kesi na Mungu na haitakuwa kesi ndogo kuliko ya yule atakaezini siku ya Valentine. Zote ni sawa tu mbele ya uso wa Mungu.
Amen mtumishi
 
Naendelea kuwakumbusha tu kwamba valentine day inaangukia jumatano ya majivu..

Ukizini una kesi na Mungu wako

KUZINI mpaka PASAKA iishe.... Pambana na HALI yako​
 
Naendelea kuwakumbusha tu kwamba valentine day inaangukia jumatano ya majivu..

Ukizini una kesi na Mungu wako

KUZINI MPAKA PASAKA IISHE​
MPAMBANE NA HALI ZENU TU​
 
Hakuna siku ambayo tumeruhusiwa kuzini. Usiisingizie Juma tano ya majivu
Nina mana show ta valentine imeaharibiwa na j5 ya majivu kuzini tena mpaka pasaka iishe

Elewa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom