Valentines Day na Siku ya Majivu...

Valentines Day na Siku ya Majivu...

Kama mtu mzinifu wewe ni mzinifu tu hiyo siku moja haitakusaidia kukutakasa na kukuondolea msamaha wa dhambi, acheni tabia ya kujifanya mnamjua Mungu kwa kuchagua siku hizi zafaa kwa maovu na siku hizi zafaa kwa mema, ndio maana Mungu husema watu hawa wananiabudu bure.
Kama umeamua kumcha Mungu mtumikie Mungu.
 
Niache kuangalia cheasea vs Barcelona ,psg vs R.Madrid kisa Valentine na majivu?
Tunaenda kwa kanisa kusali mfungo siku 40 umefikaa hatutaki kuzini wala mpira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom