Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #61
Hongera mtumishi Mungu AkubarikiSipangi kuzini siku yeyote ile.
Hongera mtumishi Mungu AkubarikiSipangi kuzini siku yeyote ile.
Ndio mjue wakristo hatuzini kabisa mpaka pasakaa iiishe msitusumbuee
Aisee nilikuwa sijui ndo umenitoa tongotongo leo
SawaaaAisee nilikuwa sijui ndo umenitoa tongotongo leo
Ila wewe ona sasa afu nimevaa zile boxer kubwa nipo kwenye haisi jamani tumebananaNgoja niache kitumbua changu kiendelee kuhumuka na kuvimbiana full jotoooo
PoleeeeIla wewe ona sasa afu nimevaa zile boxer kubwa nipo kwenye haisi jamani tumebanana
Tunakazia kazia mfungo...
hahahahahaIla wewe ona sasa afu nimevaa zile boxer kubwa nipo kwenye haisi jamani tumebanana
msiwakaze wakristo wa watu abeg!Tunakazia kazia mfungo...
unawaambia Mungu anawaooonaa!
mbona nyie tunawaheshimu mkifunga ramadhani tunawabania mpaka mmalize
Hao wanaofunga ramadhani na nyie mnaofunga kwaresma...mbona nyie tunawaheshimu mkifunga ramadhani tunawabania mpaka mmalize
kuweni na huruma acheni roho mbaya ndugu zetu wa upande wa pili kwa mama mdogo etu
Hapa kuna mtu alitaka kunitoa sealed j5 nimeghairi
ipo kweli hiyo baiskeli hujaendesha hata sasa[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]Hapa kuna mtu alitaka kunitoa sealed j5 nimeghairi
BAISKELI HAITOI BIKRA BRO!ipo kweli hiyo baiskeli hujaendesha hata sasa[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]
WAKATALIE WAAMBIE MUNGU ANAWAOOONAA