ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 1,651
- 4,261
Na leo haba jipya limeibuka huko..Milima iko kibao tu sio lazima mwende penye pesa nyingi! After all serengeti is cheap!
😅
Na leo haba jipya limeibuka huko..Milima iko kibao tu sio lazima mwende penye pesa nyingi! After all serengeti is cheap!
Ngoja nizichange huku porini.Milima iko kibao tu sio lazima mwende penye pesa nyingi! After all serengeti is cheap!
Bond linavunjika hata kama maokoto yapo, jini kisirani akivamia penzi 😁Tatizo ni MAOKOTO.
Mapenzi hisia.Bond linavunjika hata kama maokoto yapo, jini kisirani akivamia penzi 😁
Nimeisha yapuuza mapenzi aisee.. naona sio mambo yangu na sikuzaliwa kwa ajiri ya mapenzi 😁😁Mapenzi hisia.
Natoa wapi mimi hizo acc🙄😅😅Weka bas IG yako au tiktok acc kabisa
kmmmk zake!Na leo haba jipya limeibuka huko..
😅
Ni kitendawili !Hayana formula. Muulize haji kilichomkuta Kwa zailisa Dubai.
Tatizo PM yako umeifunga Meseji haziendi hapa nashindwa kufunguka sana , kwenye kuku wengi usimwage mchele
Hata penzi likifa trust me zile moments zitamtesa mtoto😁😁 Watu wanapeleka kupigia miti na vacation ila vikinuka mnaachana bond linavunjika
aaaah sio wanawake wa kizazi hiki we jidanganyeee tu . mwanamke akukumbuke kwa kisa mlitoka nae ?Hata penzi likifa trust me zile moments zitamtesa mtoto
Kuna mtu unamuogopa mkuu😂Tatizo PM yako umeifunga Meseji haziendi hapa nashindwa kufunguka sana , kwenye kuku wengi usimwage mchele
Pia Ntuyabaliwe na Hussein samakisamaki.Hhhh nimekubali natengua kauli
Tatizo wanga wabaya . Naogopa wataharibu penzi letuKuna mtu unamuogopa mkuu😂
Hio kali hadi kwenye Aeroplane bado penzi likafaMbilia Bel alifunga ndoa kwenye ndege, ndoa haikufua dafu wacha wewe wa vacation ndo mbond ndoa haihitaji vacation ili kubond mzee
Hii kwangu pia mwaka jana. Katolewa Zanzibar kila saa simu kwa muhuniLast time kuna X wangu alitolewa hizo vacation akiwa huko akawa anataka kuongea na Mimi muda wote ..
Mbaya zaidi akawa anatafutia stimu za tendo kupitia Mimi.
Haya Mambo hayana Formula Mkuu.
Hawakosekani kila mahala hao tushawazoea😁Tatizo wanga wabaya . Naogopa wataharibu penzi letu
Acha kabisa mzee 😂Hio kali hadi kwenye Aeroplane bado penzi likafa