tamadunimusic
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 551
- 559
Pamoja mkuu nimekuelewa, ila katika logic ya kawaida panapokuwa na majibizano ya hoja baina ya pande mbili mara nyingi waga kunakuwa na conclusion ndomana nikaulizia, ila kwa issue yenyewe ilivyo sensitive kupata conclusion ni kazi, shukrani kwenu hakika tumeambulia mengi kupitia huu Uzi.mkuu uzi unaendelea kama kawa.
Katika hili jambo, naona kila mtu anafikia conclusion yake binafsi. Ukitaka a compromised 'consensus' on HIV and/or AIDS, utasubiri sana mkuu.
Soma, elewa, elimika.
-Kaveli-