Siwezi kupata hayo magonjwa kisa Waafrika.Hiyo mission uliyojipa itakupa ugonjwa wa sukari, shinikizo la juu la damu na msongo wa mawazo tu. Huwezi waambia kitu waafrika juu ya Traore wakakusikiliza.
Mbona kama sikuelewi elewi. Sijamfatilia saana Traore ila speech yake mbele ya putin kwenye sherehe za ushindi day nchin Urusi ilinifanya nikawa excited over him.Viongozi wa kijeshi huongoza majeshi makambini huko.
Sifa za uongo uongo tu.
Dumb Africans.
Sema jamaa anapendwa tu.Sijampangia. Namshangaa tu.
Sina uwezo wa kumpangia cha kuvaa.
Ila, nina uwezo wa kumshangaa mavazi yake.
Kuvaa migwanda ya kijeshi muda wote ni ushamba tu.
Mkuu hii mitandao itawaletea vijana wengi msongo wa mawazoMbona hujauliza kwanini wale maafande wanaoonekanaga taifa siku za maonesho ya kijeshi Huwa wanavaa Hadi Yale ya magotini na kwenye viwiko?
Matumiz ya lugha za kejeli pia inaonesha kuwa wewe unachuki binafsi nyingi juu ya Traole kuliko kutaka kujua reasons behind style yake ya maisha, Jambo ambalo linanifkirisha sana kwani Kwa sasa ninaamini Afrika hakuna raisi wa maana kuliko Traole. Lakini pia ukitaka kujua kwanini anatembea na silaha hiyo uliyoiita ya maji nenda kafuatilie nature ya upatikanaji wa uongozi Nchini Burkina Faso na usaliti uliopo katika mapinduzi ya kijeshi. Natamani Hayati JPM angemkuta huyu Traole naimani Kwa nature yao ya uongozi wangefika mbali sana na wangekuwa marafiki wa karibu.
Najua mtoa Uzi unapenda viongozi kama mama, haya MITANO TENA ufurahi
Mpe kaptula lako avae.Hii nayo si habari ulitaka avae nini Sasa ebu tuanzie kwa maoni yako? Avae Taulo Avae chupi kichwani au soksi?
Ukiona mtu anazushiwa sifa lede kede basi ujue huyo mtu ni mweupe kichwani.
Sasa inadaiwa eti Ibrahim Traore kamuandikia barua Papa Leo.
Inadaiwa ni barua ambayo hakuna kiongozi mwingine wa Kiafrika ambaye amewahi kuthubutu kuandika maneno ambayo dikteta uchwara aliandika 🤣.
Huamini ninachosema? Fungua video hapo chini uone.
“IBRAHIM TRAORÉ sends SHOCKING MESSAGE to the new POPE LEO XIV… and LEAVES EVERYONE SPEECHLESS… The young president of Burkina Faso, Ibrahim Traoré, shocked the world by sending a historic letter to the new Pope Leo XIV after the death of Pope Francis. With bold words and painful truths, he confronted the Church over the Vatican’s wealth while Africa suffers in misery.”
View: https://youtu.be/NHfiPk3Bvt0?si=o3L1EmNtZsh9WBA_
Je, ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba huo ni uzushi tu unaolenga kumpamba huyo dogo.
Did Ibrahim Traoré send a letter to Pope Leo XIV about Africa and get a reply?
We fact-checked messages claiming that Ibrahim Traoré sent a letter to Pope Leo XIV demanding actions for Africa and received a historic response from the Vatican.www.boatos.org
Ukiona mtu anazushiwa sifa lede kede basi ujue huyo mtu ni mweupe kichwani.
Sasa inadaiwa eti Ibrahim Traore kamuandikia barua Papa Leo.
Inadaiwa ni barua ambayo hakuna kiongozi mwingine wa Kiafrika ambaye amewahi kuthubutu kuandika maneno ambayo dikteta uchwara aliandika 🤣.
Huamini ninachosema? Fungua video hapo chini uone.
“IBRAHIM TRAORÉ sends SHOCKING MESSAGE to the new POPE LEO XIV… and LEAVES EVERYONE SPEECHLESS… The young president of Burkina Faso, Ibrahim Traoré, shocked the world by sending a historic letter to the new Pope Leo XIV after the death of Pope Francis. With bold words and painful truths, he confronted the Church over the Vatican’s wealth while Africa suffers in misery.”
View: https://youtu.be/NHfiPk3Bvt0?si=o3L1EmNtZsh9WBA_
Je, ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba huo ni uzushi tu unaolenga kumpamba huyo dogo.
Did Ibrahim Traoré send a letter to Pope Leo XIV about Africa and get a reply?
We fact-checked messages claiming that Ibrahim Traoré sent a letter to Pope Leo XIV demanding actions for Africa and received a historic response from the Vatican.www.boatos.org
Ukiona mtu anazushiwa sifa lede kede basi ujue huyo mtu ni mweupe kichwani.
Sasa inadaiwa eti Ibrahim Traore kamuandikia barua Papa Leo.
Inadaiwa ni barua ambayo hakuna kiongozi mwingine wa Kiafrika ambaye amewahi kuthubutu kuandika maneno ambayo dikteta uchwara aliandika 🤣.
Huamini ninachosema? Fungua video hapo chini uone.
“IBRAHIM TRAORÉ sends SHOCKING MESSAGE to the new POPE LEO XIV… and LEAVES EVERYONE SPEECHLESS… The young president of Burkina Faso, Ibrahim Traoré, shocked the world by sending a historic letter to the new Pope Leo XIV after the death of Pope Francis. With bold words and painful truths, he confronted the Church over the Vatican’s wealth while Africa suffers in misery.”
View: https://youtu.be/NHfiPk3Bvt0?si=o3L1EmNtZsh9WBA_
Je, ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba huo ni uzushi tu unaolenga kumpamba huyo dogo.
Did Ibrahim Traoré send a letter to Pope Leo XIV about Africa and get a reply?
We fact-checked messages claiming that Ibrahim Traoré sent a letter to Pope Leo XIV demanding actions for Africa and received a historic response from the Vatican.www.boatos.org
Na muda wa MU7 sio unakaribia tu bali unapitiliza.Naam.
Mara nyingi mapinduzi ya kijeshi huwa ni vicious cycle.
Aliyeingia madarakani kwa kumpindua aliyeko madarakani naye huishia kupinduliwa kama siyo kuuliwa kabisa.
Muda wa huyo mshamba unahesabika.
Mimi nimemkandia traore?Wewe matendo yamekukubali?