Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,206
- 8,447
Traore ni Kajamaa Fulani kashamba sana, Najua wajuba wanakaria Timing tu sio muda utakasikia kameomba Assylum kwa Mabeberu
mbona matendo yanakukataaMimi na yeye mimi si mjinga kama yeye.
Mimi ambaye na debunk narratives za uongo kuhusu Traore na nyie ambao mnaamini uongo kumhusu yeye, nani mwenye uelewa finyu?Mkuu naanza kuwa na mashaka sana na level yako ya uelewa, unatumia nguvu nyingi sana kutuaminisha haupo sawa
Wewe matendo yamekukubali?mbona matendo yanakukataa
Ungekua muonaji ungeanza kuona hapahapa bongo mkuu, kwann kila anayeonesha uwezo ndo anakosolewa Africa? Traole kafanya miradi kibao ila ww umeona kuwa huwa anapenda kuvaa gloves! Sasa hyo intelligence inayoona mambo yasiyonamaana c bora ungeitumia kufanya total review ya uongoz wake ili uje utupe SWOT Analysis ya uongoz wa Traole.Mimi ambaye na debunk narratives za uongo kuhusu Traore na nyie ambao mnaamini uongo kumhusu yeye, nani mwenye uelewa finyu?
Wewe una hata intelligence ya kuweza kubaini videos zilizotengenezwa kwa AI?
Pointless.Ungekua muonaji ungeanza kuona hapahapa bongo mkuu, kwann kila anayeonesha uwezo ndo anakosolewa Africa? Traole kafanya miradi kibao ila ww umeona kuwa huwa anapenda kuvaa gloves! Sasa hyo intelligence inayoona mambo yasiyonamaana c bora ungeitumia kufanya total review ya uongoz wake ili uje utupe SWOT Analysis ya uongoz wa Traole.
Naimani utashndwa kwasababu weakness zake utasema anapenda kuvaa gloves, mbona hapa bongo yupo mvaa kilemba 24/7 na hauhoji mkuu?
Pointless comes from speechless, huna hoja🤣🤣Pointless.
Badili hyo ID naanza kupata mashaka huenda hata hao Nyan wanaweza kuwa na uelewa mpana kuliko wwPointless.
Ukiona mtu anazushiwa sifa lede kede basi ujue huyo mtu ni mweupe kichwani.
Sasa inadaiwa eti Ibrahim Traore kamuandikia barua Papa Leo.
Inadaiwa ni barua ambayo hakuna kiongozi mwingine wa Kiafrika ambaye amewahi kuthubutu kuandika maneno ambayo dikteta uchwara aliandika 🤣.
Huamini ninachosema? Fungua video hapo chini uone.
“IBRAHIM TRAORÉ sends SHOCKING MESSAGE to the new POPE LEO XIV… and LEAVES EVERYONE SPEECHLESS… The young president of Burkina Faso, Ibrahim Traoré, shocked the world by sending a historic letter to the new Pope Leo XIV after the death of Pope Francis. With bold words and painful truths, he confronted the Church over the Vatican’s wealth while Africa suffers in misery.”
View: https://youtu.be/NHfiPk3Bvt0?si=o3L1EmNtZsh9WBA_
Je, ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba huo ni uzushi tu unaolenga kumpamba huyo dogo.
Did Ibrahim Traoré send a letter to Pope Leo XIV about Africa and get a reply?
We fact-checked messages claiming that Ibrahim Traoré sent a letter to Pope Leo XIV demanding actions for Africa and received a historic response from the Vatican.www.boatos.org
Usinilinganishe mimi na so called watumishi wa umma.Braza na wewe kuwa Mjanja ulete maendeleo kwenye Mtaa wako tu.
Ukute hata familia inakushinda lakini upo apa ku Disvalue wengine
Yaani Magu awe na urafiki na Traore, unaota wewe.Mbona hujauliza kwanini wale maafande wanaoonekanaga taifa siku za maonesho ya kijeshi Huwa wanavaa Hadi Yale ya magotini na kwenye viwiko?
Matumiz ya lugha za kejeli pia inaonesha kuwa wewe unachuki binafsi nyingi juu ya Traole kuliko kutaka kujua reasons behind style yake ya maisha, Jambo ambalo linanifkirisha sana kwani Kwa sasa ninaamini Afrika hakuna raisi wa maana kuliko Traole. Lakini pia ukitaka kujua kwanini anatembea na silaha hiyo uliyoiita ya maji nenda kafuatilie nature ya upatikanaji wa uongozi Nchini Burkina Faso na usaliti uliopo katika mapinduzi ya kijeshi. Natamani Hayati JPM angemkuta huyu Traole naimani Kwa nature yao ya uongozi wangefika mbali sana na wangekuwa marafiki wa karibu.
Najua mtoa Uzi unapenda viongozi kama mama, haya MITANO TENA ufurahi
Ni sifa yake au Kazi yake ?Lakini sifa yake kuu ni mwanajeshi, hili usilisahau chief
Shida wala haipo kwa wanaozusha.Watu wanaandika habari zake nyingi za uongo Ili wapate engagement mitandaoni, na sidhani kama nishida yake labda kama anaziandika yeye au wanaziandika kwa kufata maelekezo yake.
Hiyo mission uliyojipa itakupa ugonjwa wa sukari, shinikizo la juu la damu na msongo wa mawazo tu. Huwezi waambia kitu waafrika juu ya Traore wakakusikiliza.Shida wala haipo kwa wanaozusha.
Shida ipo kwa wajinga wanaoamini kila kitu kinachomhusu yeye, hook, line, and sinker halafu ukiwaelimisha wanaleta ubishi.
Yawezekana wala siyo wajinga. Kuwaita wajinga ni kuwapendelea. Na ujinga unafutika.
Hao ni wapumbavu.
Dogo yuko standbyeHalafu ukiacha hiyo migwanda yake ya njano njano anayovaaga, na hicho kibastola chake cha maji, kwa nini huwa anavaa ‘glopes’ [kwa nyie mlio Rio Linda, ni gloves]?
Nothing about this guy makes any sense!
Mi gloves ya nini muda wote?
Ushamba tu.
View attachment 3334261