Wadau uzuri wa mwanamke upimwa na nini? Urembo,tabia au kwenye 6×6 ,achilia factor zingine km kisomo,kazi n.k ceteris paribus
Uliimbwa na S. Mapangala wa Kenya, huyu mzee nyimbo zake zote ni fundisho na ujumbe tosha, kwa waliopevuka wanaelewa ninenacho....kuna wimbo fulani usema kuwa "uzuri wa mwanamke siyo urembo! ni tabiaa..."
Kapuya tusaidie katika hili maana wewe huangalii sura elimu au umri. tuambie kinachokuvutia na uprof wako
Wadau uzuri wa mwanamke upimwa na nini? Urembo,tabia au kwenye 6×6 ,achilia factor zingine km kisomo,kazi n.k ceteris paribus
Wadau uzuri wa mwanamke upimwa na nini? Urembo,tabia au kwenye 6×6 ,achilia factor zingine km kisomo,kazi n.k ceteris paribus
Uzuri wa Mwanamke uko machoni mwake. Macho ya mwanamke ndilo geti la kwenda moyoni mwake, kamwe uzuri si mavazi yake wala urembo wake. Ukitaka kujua uzuri wa mwanamke muangalie machoni mwake utafaidi sana, try today.