Uzuri wa mwanamke

lazima uwe na mke atakayekufanya ummezee mate bana........... tabia itakuwa nyongeza tu.

hahahaaaaaa si ndo hapo........wote wenye tabia nzuri ndo waolewe
wenye uzuri wa sura si watabakia ma single ladies......ukiangalai kitu we
mwenyewe wasema mashallah na kuutukuza uumbaji wake maulana
 
Heaven on Earth mlikuwa mnadiskasheni nini na pacha angu? SnowBall sogea pande hiz!
hebu nipeni samare ya maongezi yenu!
halafu pacha na lini umeanza kujadili siri za nyumbani kuhusu tunataka uoe mke wa ain gani?
 
Last edited by a moderator:
Heaven on Earth mlikuwa mnadiskasheni nini na pacha angu? SnowBall sogea pande hiz!
hebu nipeni samare ya maongezi yenu!
halafu pacha na lini umeanza kujadili siri za nyumbani kuhusu tunataka uoe mke wa ain gani?
 
Last edited by a moderator:
uzuri inategemea ntu na ntu....

Hahaaaaa unanikumbushia ntwara bana we. Tuseme yote lakini asthetic quality ndio jambo la kwanza kwa kila mtu. Sema sometimes Huwa tunaogopa wanawake warembo sana either kwa kuamini utaibiwa kirahisi au lack of confidence tu ya kumuapproach.
Hayo ya Ya tabia na utamu wa mfereji wa Suez yanakuja baadae.
 
Back
Top Bottom