Uzuri wa mwanamke

Ananiambiaga mke ni tabia..
Anataka wi-fi mwenye tabia njema
Wakati mie nataka alojazia na sura ya mdoli
Kwii kwiii kwiiii

haha.haha una visa wewe na ulivyo bold hadi asome tu

ka kuna mashitaka ya kujibu utanisaidia kujibu kabisaaa

leo unanichekeshaje ujue......
 
Ananiambiaga mke ni tabia..
Anataka wi-fi mwenye tabia njema
Wakati mie nataka alojazia na sura ya mdoli
Kwii kwiii kwiiii

HAHAHAHAAAA nimezidi kucheka sana sa akikwambia we unamjibuje!!
snowhite
bana anataka awe na wifi mwenye tabia njema!!!!
mjini sura ndo mpango mzima mtoto ka sura ya avatar yangu hapo....
akuache ujichagulie alojazia jazia na reception ya maana
 
Mbavu zangu mie..huyo hapo kwako huo wanja..mmmh
Sasa sijajua kama naye kajazia..manake miavatar si inatoaga kijisura tu!
Sema nabwabwaja tu hapa ..mwenyewe pachaangu snowhite akipita sasa hapa nakomaje!
Kweli bana demu mzuri sio mitabia..kama tabia si tungeoa masista wa kigangoni


HAHAHAHAAAA nimezidi kucheka sana sa akikwambia we unamjibuje!!
snowhite
bana anataka awe na wifi mwenye tabia njema!!!!
mjini sura ndo mpango mzima mtoto ka sura ya avatar yangu hapo....
akuache ujichagulie alojazia jazia na reception ya maana
 
Last edited by a moderator:
Mbavu zangu mie..huyo hapo kwako huo wanja..mmmh
Sasa sijajua kama naye kajazia..manake miavatar si inatoaga kijisura tu!
Sema nabwabwaja tu hapa ..mwenyewe pachaangu snowhite akipita sasa hapa nakomaje!
Kweli bana demu mzuri sio mitabia..kama tabia si tungeoa masista wa kigangoni

hahahaaaa lao napataje maraha..kweli pacha wa snowhite balaa
huyo kwenye avatar kajazia kimtindo ila tabia yake sasa usiulize x2 utajutaaaa
mi nipo nitakusaidia kukutetea wala usijali
 
Last edited by a moderator:
sometimes binadamu tunakuwa waongo waongo ,,,,,,,, hivi akitokea mwanamke anasura chachu kama muheshimiwa wapigwe tu kwa maana tumechoka ila anatabia kama malaika wanaume tutamgombea kweli?

hapooo chacha wanajishaua tu huku
ila huko mtaani wakiona mdada anameremeta
figure ya kufa mtu wanapanga foleni
bora best we umekua mkweli,sura,figure na mvuto
kwa ujumla ndio vinamata!!
 
...kuna wimbo fulani unasema kuwa "uzuri wa mwanamke siyo urembo! ni tabiaa..."

Ni TABIA na si kingine chochote kiwacho.

tabia japo watu siku hizi uangalia sura na ------ lakini tabia ndo kila kitu

tabia ndio kila kitu jamani!

tabia ndio kila kitu, sura na vingine vinaongezea.

Kumbukeni Tabia yaweza mfanya mwanamke aonekane kama mwanaume.

Sio mwonekano?
Mie nadhani vyote tabia na mwonekano wake..

Tabia na sura ndio kila kitu kwa mwanamke kua mzuri.

conclusion uzur mwa mwanamke tTABIA cyo k2 kngne

Mwanamke sura tabia tutavumiliana..........

Umeonaeeh..
Tabia bana..zitajulikanika mbele ya safari
Ila kwanza sura na nyama viwe vya haja..

sometimes binadamu tunakuwa waongo waongo ,,,,,,,, hivi akitokea mwanamke anasura chachu kama muheshimiwa wapigwe tu kwa maana tumechoka ila anatabia kama malaika wanaume tutamgombea kweli?
huyu anatabia nzuri sana....anatafuta mchumba....
1083324.1148876617811.FO_04MsUniverse_0268.jpg

 
sometimes binadamu tunakuwa waongo waongo ,,,,,,,, hivi akitokea mwanamke anasura chachu kama muheshimiwa wapigwe tu kwa maana tumechoka ila anatabia kama malaika wanaume tutamgombea kweli?

mke sura mbaya..
Kimada ana bonge la english figuree............mie nawaangalia tu
 
Back
Top Bottom