Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?


Dada Michelle unatumia soda gani??
 
Mwanamke akichubua hata ile harufu anayotoa ni ya chemicals. Mimi binafsi huwa napenda mwanamke anayetoa harufu natural hasa ya kikwapa na kule kunako.
 
Mtoa mada naomba nikuambie tuu kujiremba kwetu sio tunataka wakaka wavutiwe nasi bali ni mwenywe kuwa huru na mwili wako, kama kuna sehemu ya mwili huipendi unaifanyia marekebisho kama pesa ipo..
kumbuka kila mtu anapenda awe na id yake lol


Kufuru hapo kwenye bold!!!!!!!!!!!
 
Acheni watoto wa watu wajirembe wang'ae...
Acheni wafanye wanayowapendeza jamani. Maisha yenyewe mafupi. Usipojiremba sahv sijui utajiremba wapi!
Ila wadada punguzeni maana wengine mnakuwa kama manyau. Yaani wengine nikikutana nao hadi mimi ndio naona aibu jinsi walivyo vituko.
 
Umewauliza wanaume cha kushangaza wanawake wanajibu kujitetea.Waacheni wanaume waseme matamanio yao halafu nanyi kina dada/mama mjue mnatakiwa kufanya nini.

Sawa?
 
Naomba juice ya watermelon/embe kaka Gosbertgoodluck! asante sana!:wink2:

Sijui nifanyeje Dada yangu manake natamani nikuletee hiyo juice na kukunywesha kabisa ili niuburudishe moyo wako. Naomba upokee kwa imani.
 
hili swali ni very tricky...
unaweza kukuta natural ni nzuri
na ya cosmetic pia safi.....


mimi nafikiri kabla ya urembo wanawake wajali zaidi afya zao
kutumia pesa nyingi kwenye cosmetics wakati huli vizuri huwezi kuwa mrembo...
 
hili swali ni very tricky...
unaweza kukuta natural ni nzuri
na ya cosmetic pia safi.....


mimi nafikiri kabla ya urembo wanawake wajali zaidi afya zao
kutumia pesa nyingi kwenye cosmetics wakati huli vizuri huwezi kuwa mrembo...

Do you mean kuna wanawake wamefikia hatua ya kucompromize kati ya bajeti ya kula na ya kununua vipodozi!! Duuu, kama ndivyo, basi hiyo ni kali!!
 
acha uongo kimbweka,hayo mambo ya kunuka ya zamani enzi za karikiti,ebu uko......
 
Do you mean kuna wanawake wamefikia hatua ya kucompromize kati ya bajeti ya kula na ya kununua vipodozi!! Duuu, kama ndivyo, basi hiyo ni kali!!

mbona wwengi tu uswazi...
kwani unafikiri wengi kwa nini wanachukiza kwa kujiremba kupita kiasi?
 

kaka, umeoa?

kama hujaoa, hizo ni ishara kwamba sasa umekua na akili yako inaweza kuchambua mchele na chuya.
Mwili, akili na roho yako inakuhitaji utafute mke "Natural" umuoe haraka iwezekanavyo.

Kama umeoa lakini unaendeleza 'onja-onjaring' mitaani, ...akili yako inakusuta kwamba "utamaliza mabucha nyama ile ile!"
 
Sijui nifanyeje Dada yangu manake natamani nikuletee hiyo juice na kukunywesha kabisa ili niuburudishe moyo wako. Naomba upokee kwa imani.

kwanini utamani wakati inawezekana....l.o.l
thanks....nimeshakunywa na nimetosheka!!
 
kusema ukwel ki2 natural ndo chaukwel mana ukichukuwa cha kujichakachua m2 wangu kikianza kuchuja unaweza ukakikataaa kabisaaa
 
Mnh...umeshanyoa kule pahala!!
 
Wengi utawasikia "Huyu asingekuwa mweupe sijui angekuwaje" mara "weupe" unambeba, mweusi ambaye ni mzuri anaitwa "black beauty" lakin cha ajabu hakuna "white beauty", ni weupe unaonunuliwa madukan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…