Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,406
Najua wengi haswa wadada mtabisha lakini mwanamke hana dini. Hivyo kigezo cha dini ni bure tu. Mwanamke Figure tu. Uso na tabasam kila saa.
mi sina mzinga wa nyuki wala pakacha la samaki..Kwa Tanzania, mwanamke ni kila kitu kwani kuna wale wanaopenda makalio, kunuka ukurutu mwilini, kunuka mdomo, kunuka makwapa. Utashangaa utaona demu hana hata mvuto ila ana mzinga wa nyuki kama wa Mamaa mimi49 (ila yeye ni mzuri) na watu/jamaa wanamlilia kutaka kuvuna asali yake. Hawataki chochote zaidi ya makalio tu. Bongo bwana:frusty:
Kwanza mi sio dada
Nani kasema mwanamke hana dini? Akina Rwakatale ni watu ganj?
Hao ni akina Rwakatare leo hii tu. Angempata Hamisi mwenye kauwezo siku zileee alipokuwa anaanza leo angeitwa Saumu.
List ni ndefu mno walioziasi dini zao na kubadili maudhui kwa kisingizio cha kupenda mtu
mi sina mzinga wa nyuki wala pakacha la samaki..
Najua wengi haswa wadada mtabisha lakini mwanamke hana dini. Hivyo kigezo cha dini ni bure tu. Mwanamke Figure tu. Uso na tabasam kila saa.
Wengine wanataka choo tu mengine yote wanasamehe...
Ebana weee....
Huu ni Mgogoro wa Yanga kasheshe kweli taarabu anayo bibie.Wallah napata ushungu............