Uzuri wa kibamia hakifiki IKIMWI ulipo

Uzuri wa kibamia hakifiki IKIMWI ulipo

temoin

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2025
Posts
217
Reaction score
475
Kama we ni mwanaume mwenye kibamia na unajiona mnyonge kutokana na maumbile yako basi ondoa shaka

Tafiti zinaonyesha wanaume wenye uume mdogo(kibamia) ni vigumu sana kupata magonjwa ya zinaa ikiwemo UKIMWI pindi wanapofanya ngono na mwanamke kwasababu ni vigumu kupata michubuko wakati wa tendo kutokana na maumbile yao kuwa madogo na kupwaya kwenye uke yaani ni kama kuingiza kijiko kwenye ndoo kubwa ya maji hali inayowaweka salama zaidi kiafya kulinganisha na wanaume wenye maumbile makubwa

Hii ni faraja kwa team vibamia, huna haja tena ya kuhangaika kwa wataalamu kutafuta madawa ya kuongeza uume, jali afya yako kula vizuri, fanya mazoezi , kunywa maji mengi na pumzika mda wa kutosha.
Tumia hicho hicho kibamia chako mradi kinasimama na kuingia mambo ya kuhangaika et kuwafikisha wanawake kileleni hayo waachie wapanda mlima hayakuhusu

NO MORE STRESS NO BAD MOOD
 
FB_IMG_17519056178684112.jpg

Tunachekeshana tu lakini kusema ukweli ukimwi unakaa kwenye mashavu ya K😄
 
Back
Top Bottom