Wissman
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,011
- 1,279
kama kichwa cha mada kinavyojieleza je ni kipi hasa humpendezesha mtu?
je? uzuri upo kwa mtu? nikiwa na maana kuna watu wazuri zaidi ya wengine? kama ndivyo ni kwanini kuna dhana ya mtu kupendeza na kuonekana mzuri mara baada ya kuvaa mavazi nadhifu na urembo?
je uzuri upo kwenye vitu? nikiwa na maana watu wote tuna uzuri sawa ila tunatofautiana kutokana na mavazi na mapambo tunayovaa? unaweza ukawa umesikia fulani anaonekana mzuri au mrembo kutokana na mavazi na mapambo tuu.
uzuri au ubaya unakaa kwenye nini? wazuri huwa wabaya kutokana na mazingira, na hali za maisha, wabaya vilevile huwa wazuri kutokana na hali za maisha. utaskia ukipata hela unatakata. hela hubadilisha mengi na hufanya mengi lakini bado swali la msingi ni lile lile,
Uzuri wa nini? uzuri upo kwenye kitu au vitu vinavyoendana na uzuri?
mfano; kama sio ya mavazi Je, uzuri ungekuwepo?
watu ni wazuri au vitu ndio huwafanya watu waonekane wazuri?
je? uzuri upo kwa mtu? nikiwa na maana kuna watu wazuri zaidi ya wengine? kama ndivyo ni kwanini kuna dhana ya mtu kupendeza na kuonekana mzuri mara baada ya kuvaa mavazi nadhifu na urembo?
je uzuri upo kwenye vitu? nikiwa na maana watu wote tuna uzuri sawa ila tunatofautiana kutokana na mavazi na mapambo tunayovaa? unaweza ukawa umesikia fulani anaonekana mzuri au mrembo kutokana na mavazi na mapambo tuu.
uzuri au ubaya unakaa kwenye nini? wazuri huwa wabaya kutokana na mazingira, na hali za maisha, wabaya vilevile huwa wazuri kutokana na hali za maisha. utaskia ukipata hela unatakata. hela hubadilisha mengi na hufanya mengi lakini bado swali la msingi ni lile lile,
Uzuri wa nini? uzuri upo kwenye kitu au vitu vinavyoendana na uzuri?
mfano; kama sio ya mavazi Je, uzuri ungekuwepo?
watu ni wazuri au vitu ndio huwafanya watu waonekane wazuri?