sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,750
- 8,942
Rafiki unataka kufa? 😂
Hapana ni udadisi tu halafu hataki kufunguka!
Rafiki unataka kufa? 😂
Anakutania tu hakuna kitu kama hicho.Hapana ni udadisi tu halafu hataki kufunguka!
Yeah! ni utulivu na concentration tu, huku nasindikizwa na 432 hz!!lengo kuu ni kupata utulivu au wew unafanyaga kwa malengo gan?
Hahahahaaaa Duh! inatisha sana.Rafiki unataka kufa?
Anakutania tu hakuna kitu kama hicho.
Meditation does not have to do with NDE kufa ni kufa tu...
Hata near death experience pale mtu anakuwa inaonesha kama amekufa ila bado you hai... Yaani mwili wake unakuwa na some sort of energy kupokea spirit..
Ndo maana huwa kuna kuwa na separation kati ya soul and body kwa muda kadhaa kabla soul haiajrudi ndani ya body..
432ndo nin? MkuuYeah! ni utulivu na concentration tu, huku nasindikizwa na 432 hz!!
Bado hukuya jua mpaka leo?Haya mambo haya.
I knew you were a well established spiritual personHaya mambo haya.
Ni emotion beat mkuu!432ndo nin? Mkuu
Bado hukuya jua mpaka leo?
I knew you were a well established spiritual person
There's no amount of learning that will make you enlightened!Nina miaka kadhaa kwenye mambo haya ila pia kuna mapya tunazidi kujifunza. Kadri unavyozidi kujifunza ndio unagundua safari ya kujifunza haina ukomo.
Science + spirituality + philosophy.
Sasa why waste time learning and not unlearning?Learning is an endless process and the more I learn the more I see myself that I know nothing.
Hii Kuna wanasayansi washa ifatilia Lakini sio Kwa mantiki ya kifoJe umewahi kumsikia mtu aliyepata ajali mbaya au moyo wake kusimama akiwa hospitalini, madaktari wakamtangaza amefariki, lakini baada ya dakika chache moyo ukaanza tena kudunda na akazinduka? Anapozinduka, anakupa kisa cha ajabu cha pale alipokuwa kwa hizo dakika chache!
Kitendo hiki huitwa Near-Death Experience (kuchungulia kaburi) au Uzoefu wa Kukaribia Kifo. mamilioni ya watu duniani kote waliowahi kukaribia kifo wanatoa ushuhuda unaofanana kwa takriban 90%, hata kama wanatoka kwenye dini, utamaduni, au nchi tofauti kabisa.
Mambo yanayojirudia Kwenye kukaribia kifo:
Kujitenga na Mwili: Mtu anahisi nafsi yake imetoka mwilini na inajiona ikiwa juu ya dari au pembeni, ikishuhudia madaktari wakipambana kuokoa mwili wake au ndugu wakilia.
Handaki la Mwangaza: Wengi wanaeleza kusafiri kwa kasi kubwa kupitia handaki la giza kuelekea kwenye mwangaza mkali sana ambao hauumizi macho, bali unatoa amani na upendo usioelezeka.
Video ya Maisha: Kwenye sekunde chache, mtu anaona matukio yote ya maisha yake yakipita kama filamu—kuanzia utotoni hadi sekunde ya mwisho—huku akihisi maumivu au furaha aliyowapa wenzake.
Kukutana na Watu Waliotangulia: Wengi wanaeleza kukutana na ndugu au marafiki waliokwisha kufa zamani, au viumbe vya mwangaza, wakimwambia: "Muda wako haujafika bado, lazima urudi duniani"🤔
Nini Kinasababisha hali hii?
Mitazamo ya Kisayansi: Wanasayansi wa ubongo (Neuroscientists) wanadai kuwa wakati moyo unaposimama, ubongo unakosa oksijeni. Kwenye sekunde hizo za mwisho, ubongo unajilinda kwa kutoa kemikali nyingi za Endorphins na DMT zinazotengeneza ndoto nene sana ili kumpa mtu amani asihisi maumivu ya kifo.
Mitazamo ya Kiroho: Viongozi wa dini na wanafalsafa wanaamini kuwa hii ni thibitisho kwamba mwanadamu si mwili tu, bali ni nafsi inayojitegemea, na kwamba kuna maisha au ulimwengu mwingine baada ya kifo cha kimwili.
Shuhuda kutoka kwa watu wote waliowahi kupitia uzoefu wa kukaribia kufa ni kwamba, baada ya kuzinduka, maisha yao yanabadilika kabisa. Wanaacha kuogopa kifo, wanaacha kufukuzia mali kwa tamaa, na wanaanza kujali upendo na mahusiano ya kibinadamu. Maisha ni mafupi mno; usiishi kwa chuki au wasiwasi wakati hujui sekunde inayofuata italeta nini!
Sasa why waste time learning and not unlearning?
Infact true zen spirituality entails the letting go of what you think you know. It's all about letting go of the need to know, thus knowing everything. Most of which unataka kujua ni smokes and mirrors