Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,020
- 2,601
Habari wananzengo,
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili, wa masomo chuo fulani Cha serikali huko Dodoma,naenda straight to the point kwamba nataka nifanye saving ili panapo uhai mwakani moja ya financial planning yangu,
Ni kununua brand new BODA BODA kuanzia 1.6 million, hivyo nimesoma thread nyingi Sana hapa jukwanii.na final decision yangu ni kupata bodaboda ambayo perday itaniletea 7000 kila siku. Najua Kuna constant risks, na Kuna calculated risk Kama upotevu wa boda boda.
But zote ni moja ya changamoto hivyo ningependa kuomba msaada wa uzoefu wenu katika hii operational business plan.
asante...
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili, wa masomo chuo fulani Cha serikali huko Dodoma,naenda straight to the point kwamba nataka nifanye saving ili panapo uhai mwakani moja ya financial planning yangu,
Ni kununua brand new BODA BODA kuanzia 1.6 million, hivyo nimesoma thread nyingi Sana hapa jukwanii.na final decision yangu ni kupata bodaboda ambayo perday itaniletea 7000 kila siku. Najua Kuna constant risks, na Kuna calculated risk Kama upotevu wa boda boda.
But zote ni moja ya changamoto hivyo ningependa kuomba msaada wa uzoefu wenu katika hii operational business plan.
asante...