Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Wadau, kumekuwa na habari nyingi za kutisha na pia visa na mikasa mbalimbali inayotokea wakati wa shughuli za kuchimba madini hasa dhahabu.
Jamaa mmoja alikuwa anasimulia hapa jinsi rafikiye alivyopata kichaa akiwa ndani ya shimo la dhahabu, anasema walikuwa wawili mstari wa mbele kabisa wanaelekea kuchimba sehemu ambayo ndio inaonekana dhahabu imelala pale, walionana na mwanamke mzuri sana wa Kiarabu ananukia ile haswa.
Yule rafikiye akaona yule dada analeta usiku wakati mentali ameenda kuzisaka ndalama, akamfuata na kumwambia aondoke ile sehemu asilete urembo.
Jamaa anasema issue nzima ilikuwa jamaa pia alishakula msuba so hata hakuwa na mshtuko. Wakabishana sana yule mwanamke anataka asisogelewe sababu jamaa ana madude kichwani(msuba)
Jamaa anasogea akifoka kuwa hajaenda kutafuta mademu Mwanza kaenda kupiga kazi asiwekewe usiku, ghafla alipigwa kumbo. Alipokuja amka jamaa alikuwa tayari kichaa.
Huyu mwenzie anasema hakuweza mwambia mtu kesho yake tu asubuhi alikuwa kwenye bus anarudi Muheza.akaendelee na maisha mengine.yule jamaa mpaka kesho ni kichaa.
Tuleteeni mikasa mingjne toka kwenye uchimbaji madini.
Jamaa mmoja alikuwa anasimulia hapa jinsi rafikiye alivyopata kichaa akiwa ndani ya shimo la dhahabu, anasema walikuwa wawili mstari wa mbele kabisa wanaelekea kuchimba sehemu ambayo ndio inaonekana dhahabu imelala pale, walionana na mwanamke mzuri sana wa Kiarabu ananukia ile haswa.
Yule rafikiye akaona yule dada analeta usiku wakati mentali ameenda kuzisaka ndalama, akamfuata na kumwambia aondoke ile sehemu asilete urembo.
Jamaa anasema issue nzima ilikuwa jamaa pia alishakula msuba so hata hakuwa na mshtuko. Wakabishana sana yule mwanamke anataka asisogelewe sababu jamaa ana madude kichwani(msuba)
Jamaa anasogea akifoka kuwa hajaenda kutafuta mademu Mwanza kaenda kupiga kazi asiwekewe usiku, ghafla alipigwa kumbo. Alipokuja amka jamaa alikuwa tayari kichaa.
Huyu mwenzie anasema hakuweza mwambia mtu kesho yake tu asubuhi alikuwa kwenye bus anarudi Muheza.akaendelee na maisha mengine.yule jamaa mpaka kesho ni kichaa.
Tuleteeni mikasa mingjne toka kwenye uchimbaji madini.