Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,900
Mwanaume kamili lazima umpe mwanamke hela. Miaka ya nyuma ulipata msichana umekahonga gari na madude kibao alafu kakakutosa sasa hivi moyo wa kuhonga umekwisha kabisa.
Umri unakwenda umeamua kuwa na marafiki wa kike kama 20 wote hujawatongoza ila mipango yako ni kuchunguza tabia zao baadae upige mimba but mizinga wanakupiga kama kawaida tena wote. Je, ni halali kuwapa? Au kuwalia bati tu.
Umri unakwenda umeamua kuwa na marafiki wa kike kama 20 wote hujawatongoza ila mipango yako ni kuchunguza tabia zao baadae upige mimba but mizinga wanakupiga kama kawaida tena wote. Je, ni halali kuwapa? Au kuwalia bati tu.