Uzinzi ni dhambi ya mauti...

We need a positive power to fight against negative power.
 
Kama jini naweza hata kuongea naye na nimzuri .... kwani we jamaa kama unapata utelezi wa bure bila usumbufu unataka nini tena mkuu .... kwenye haya maisha niunganishe na huyo jini ... mademu wakibongo wamesha nichosha kila siki virungu
Kaka una mizaha sana
 
Tumia akili yako kujua kama usinzi ni dhambi. Eva aliletwa kwa Adam, wakazaana na kuijaza Dunia. Ninachojua kubaka ni kosa, unalazimisha. Hiyo starehe kaweka Mungu. Mme au mke wa mtu ni kosa, nimemaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
mmmh!!? Kumbuka aliweka na utaratibu wa kuijaza Dunia sio kufanya fanya tu na hizo taratibu zilikuwepo ata kabla ya ujio wa hizi dini za kiarabu na kimagharibi
 
We kama umeupata UKIMWI pambana na kuhudhuria CTC tusitishane mzee wangu samahani sana.
 
Nafikiri kuna haja ya kuzungumzia dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu,hapa.
ni kweli, hiyo mifano nimewahi kumsikia mmoja wa mhubiri akiitoa ila inaponichanganya nimekutana na kipengere katika chapishi hili
mwandishi anasema : -

Dhambi ya kumkufuru Roho haiwezi kufanywa na watu ambao bado hawajaokoka.

Wala Dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu
haiwezi kufanywa na mkristo yoyote tu wa kawaida ambaye hajainuliwa na Mungu katika ngazi yoyote ya utumishi katika huduma iliyowekwa na Mungu ndani yake.
 
Unampenda yesu ama Yesu?
Acha kuandika kisukuma bwashee 😁
Anaweza kukasirika kwa utani ulioungizia asielewe mahali unapohisi kakosea, ungemuambia jina la Yesu au Mungu au Malaika wa Bwana au mengineyo yanayoenda na na hayo ni vema yangeandikwa kwa kuanza na Herufi kubwa kuonesha hali ya Utii na ukuu wa majina hayo.
 
Kasome Biblia vizuri.
Bado hujajua maana ya kumkufuru Roho Mtakatifu.
Ogopa sana kupunguza au kuongeza neno katika Neno la Mungu. Ni heri ufundishe kile ambacho una hakika nacho kwa 100%.
Neno la Mungu si masomo ya upatu kwamba kila mkufunzi anaweza kuja na gear yake
 
Mahari ni issue?
Si ni suala la kuelewana we na mtu wako?
 
Mahari ni issue?
Si ni suala la kuelewana we na mtu wako?
Thats where u go wrong....ndoa sio kutomberna wewe. Ndoa inahusisha familia mbili sio sio suala la kuelewana we na mtu wako.
Kutomberna ndio kitu cha kuelewana wee na mtu wako
 
Kwa nini akasirike? Labda kama anavuta bange na kunywa kimpumu ndo atakasirika 😂
 
watajitunza lakin vijana tutashindwa kumudu hio 10mil mwisho wake mabinti watajiachia ili waolewe kirahis
U make a valid point ..therefore i apoint u minister of gender affairs here in jf. So what shuld be the bride price for a demure virgin young lady minister?
 
Hivi huyu ni wew au umeshikiwa simu😂
Ndio mie huyo huyo aloyekutongoza pm alafu ukinipiga kibuti.
Well ukweli usememwe tuu uzinzi sio kabisa ila napo wazazi ndio wanatufanya tuwe wazinzi mahari wanaweka bei mbaya sana. Na nyie wanawake mna tamaa za kupitiliza kweli binadamu tunapenda vizuri basi muwe tayari kuvuta smida sio mkute ready made.
 
🤣🤣🤣Ila wew looh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…