Uzinzi haufai jamani

Alshabab na wewe huko mbiguni mtakuwa maskani moja
 
^^
Ha ha ha WAPENI VIJANA HAKI YA KUKUA na KUJIFUNZA KUPITIA MAKOSA YAO WENYEWE,,maana wakisimuliwa hawaelewi.
^^
Mkuu Himidini kuna makosa mengin ni balaa yanaweza kukucost maisha yako kabla hujashtuka ndo maana wanasema one mistake sio one goal bali ni thousand goals
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Himidini kuna makosa mengin ni balaa yanaweza kukucost maisha yako kabla hujashtuka ndo maana wanasema one mistake sio one goal bali ni thousand goals

^^
Kweli Mr Rocky tumuombee isiwe hivyo maana chuo kuna assignments/portfolios,hata ikilazimu supplimentaries zinamngoja.Hawa ndio wasomi tunaowategemea.
ASIPOCHAFUKA ATAJIFUNZAJE USAFI?
^^
 
Last edited by a moderator:
Labda aisee......maana hamuwezi kujiachia hivyo kwenye nyumba isokuwa yenu

tena sebuleni
Ndo hapo Heaven on earth unajiachia kama baba mmwenye nyumba bana yaani full bila wasi wasi kabisa

^^
Kweli Mr Rocky tumuombee isiwe hivyo maana chuo kuna assignments/portfolios,hata ikilazimu supplimentaries zinamngoja.Hawa ndio wasomi tunaowategemea.
ASIPOCHAFUKA ATAJIFUNZAJE USAFI?
^^

Ila ameonyesha madhaifu makubwa sana kukaribishwa kwa mtu hata kilichokuleta hujasema umeanxza ufukunyuku
Ndio wale wanaoenda kuazima jamvi badala ya kuazima jamvi lililowapeleka pale wanaanza kutafuta msosi na kula na kunnywa anakuja mwingine kuazima jamvi na yeye anakurupuka na mimi nilikuja kuazima hilo hilo kumbe ni too late aise
 
Last edited by a moderator:

vijana wa sasa hauogopi ukimwi mshahara wa dhambi mauti tulia dogo
 

thanks
 
Iamabdul

Today 05:32
#1
Junior MemberArray


Join Date : 26th September 2013
Posts : 3
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0


[h=2]
Uzinzi haufai jamani[/h]

 
mjomba amekukubali kiaina ila anazuga tu.
subiri hasira zimuishe ila kwasasa anakupongeza moyoni.
 
Duh weka hata paraghaph nimepata sana shida!!!!!!!!!!

Ndio mkome kuparamia wakina binam na genye mshindo zenu......

Leyla ukamkosa na ela ya shule ukakosa pia........KAZANA NA SHULE KIJANA........
kweli kabisa uliyoyasema
 
Duh weka hata paraghaph nimepata sana shida!!!!!!!!!!

Ndio mkome kuparamia wakina binam na genye mshindo zenu......

Leyla ukamkosa na ela ya shule ukakosa pia........KAZANA NA SHULE KIJANA........
kweli kabisa uliyoyasema shule muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…