UZINDUZl RASMI WA JAMII FORUM

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,841
WADAU,

NAOMBA NIULIZE, HIVI NI LINI AMBAPO JAMlI FORUMS ITAZINDULIWA RASMI?

TULIAMBIWA NI MWEZI HUU WA NNE NA LEO MWEZI UNAKARIBIA KATIKATI LAKINI TAREHE BADO HAIJAWEKWA WAZI.

TUNAOMBA UONGOZI WA JAMII FORUMS UONGEE LOLOTE KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA UZINDUZI ILI MIOYO YETU ITUYLIE, MAANA TUNA HAMU SANA NA UZINDUZI HUO.
 
Nami naona ni wazo zuri sana tena kwa upande wangu ningetamani hiyo siku iwe mwisho wa wiki na memba wote waJF wakutane na kujuana zaidi nahisi itapendeza sana, hii ifanyike pia kwa kila mkoa ili nao wamikoani wajuane na kusheherekea pamoja siku ya ufunguzi rasmi wa JF
 
Mara ya kwanza nilivyoiona title, nilidhani ya kwamba wewe ndo unatutangazia huo uzinduzi! Anyway, mimi pia sina jibu, ila katika kupitapita humu nilikumbana na hii hapa chini:
...Bado tupo kwenye matengenezo; tukishawafahamisha kuwa SASA TUMEMALIZA ili official launching ifanyike basi hapo tutafanya marekebisho kulingana na mapendekezo ya watu lakini ambapo tutaona kuna haja ya kutoa maelezo mafupi itatulazimu kufanya hivyo!...
 
WADAU,

NAOMBA NIULIZE, HIVI NI LINI AMBAPO JAMlI FORUMS ITAZINDULIWA RASMI?

TULIAMBIWA NI MWEZI HUU WA NNE NA LEO MWEZI UNAKARIBIA KATIKATI LAKINI TAREHE BADO HAIJAWEKWA WAZI.

TUNAOMBA UONGOZI WA JAMII FORUMS UONGEE LOLOTE KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA UZINDUZI ILI MIOYO YETU ITUYLIE, MAANA TUNA HAMU SANA NA UZINDUZI HUO.
Mkuu Bujibuji,

Bado tunaendelea na marekebisho kadhaa, hatujamaliza, target yetu ni kuwa ifikapo Aprili 15 tuwe tumekamilisha. Ndo maana tunasisitiza watu ku-refresh ili kuona changes ambazo zimetokea kila walau baada ya 6hrs.

Baada ya kukamilisha ndipo twaweza kuwatangazia tarehe rasmi, hata 30 April 2010 bado itakuwa Aprili au sio mkuu? :)

Nami naona ni wazo zuri sana tena kwa upande wangu ningetamani hiyo siku iwe mwisho wa wiki na memba wote waJF wakutane na kujuana zaidi nahisi itapendeza sana, hii ifanyike pia kwa kila mkoa ili nao wamikoani wajuane na kusheherekea pamoja siku ya ufunguzi rasmi wa JF
Naamini majibu yangu hapo juu yamesaidia kitu walau. Lakini siamini kama endapo wana JF watakutana kuna mtu atamweleza kuwa "Mimi ndiye Mwanakijiji au Mimi ndiye mswahili pale JF; nadhani kila mtu atasema mimi ni mwana JF na huenda wengine wakadai hawajajisajili :)

Mara ya kwanza nilivyoiona title, nilidhani ya kwamba wewe ndo unatutangazia huo uzinduzi! Anyway, mimi pia sina jibu, ila katika kupitapita humu nilikumbana na hii hapa chini:
Ahsante Sinkala, naona uko makini mkuu
 
Nilitaka kuuliza juu ya aina ya uzinduzi wenyewe, kumbe swali limejibiwa, kwamba watu wataenda phyisically mahala, na kubadilishana mawazo huku wakitafuna pop-corn(may-be), na maxence akiendelea na valuu taratibu, wakati Reverend akiendelea na Mvinyo wa Kiitaliano sawia!
Ni wazo zuri(only kama litatake-off), japo mambo kadha (kama T-shirts )yameishia kuwa 'white elephant' na yanaozea kwenye mabandiko!
 
kwenye uzinduzi lazima nije yaani lkn sitasema kuwa mimi ni cheusimangala.wana Jf tujitokeze tukutane tafwadhali hata kama mtu hutaki kusema kuwa wewe ndio fulani nadhani itakuwa raha tu kukutana na kubadilishana mawazo na ku-dare ku-talk openly face to face.
i can't wait for the launching.
 
kwenye uzinduzi lazima nije yaani lkn sitasema kuwa mimi ni cheusimangala.wana Jf tujitokeze tukutane tafwadhali hata kama mtu hutaki kusema kuwa wewe ndio fulani nadhani itakuwa raha tu kukutana na kubadilishana mawazo na ku-dare ku-talk openly face to face.
i can't wait for the launching.

watu watakujua kwa umbo lako cammon!
 
Mkuu Bujibuji,

Bado tunaendelea na marekebisho kadhaa, hatujamaliza, target yetu ni kuwa ifikapo Aprili 15 tuwe tumekamilisha. Ndo maana tunasisitiza watu ku-refresh ili kuona changes ambazo zimetokea kila walau baada ya 6hrs.

Baada ya kukamilisha ndipo twaweza kuwatangazia tarehe rasmi, hata 30 April 2010 bado itakuwa Aprili au sio mkuu? :)


Naamini majibu yangu hapo juu yamesaidia kitu walau. Lakini siamini kama endapo wana JF watakutana kuna mtu atamweleza kuwa "Mimi ndiye Mwanakijiji au Mimi ndiye mswahili pale JF; nadhani kila mtu atasema mimi ni mwana JF na huenda wengine wakadai hawajajisajili :)


Ahsante Sinkala, naona uko makini mkuu
Asante Maxence kwa maelezo na maandalizi mazuri ya uzinduzi wa JF. Naomba na sisi wa mikoani msitusahau ktk uzinduzi huo au hata hapo baadae.
 
kwenye uzinduzi lazima nije yaani lkn sitasema kuwa mimi ni cheusimangala.wana Jf tujitokeze tukutane tafwadhali hata kama mtu hutaki kusema kuwa wewe ndio fulani nadhani itakuwa raha tu kukutana na kubadilishana mawazo na ku-dare ku-talk openly face to face.
i can't wait for the launching.

Sasa tutakutanaje bila kufahamiana kwa hiyo tutakuwa tunaongea tuu bila kutambulishana looh hiyo itakuwa si sawa... mimi nitajitambulisha kwa jina langu original is tete'a'tete au mnasemaje....
 
MAx naomba Uzinduzi ufanyike mwezi wa Sita kati kati kwani mimi ni mdau nina maoni yangu naweza kujitolea hata gharama za ukumbi au hata Tshirt
 
kwenye uzinduzi lazima nije yaani lkn sitasema kuwa mimi ni cheusimangala.wana jf tujitokeze tukutane tafwadhali hata kama mtu hutaki kusema kuwa wewe ndio fulani nadhani itakuwa raha tu kukutana na kubadilishana mawazo na ku-dare ku-talk openly face to face.
I can't wait for the launching.

kwa avatar zako tutakugundua.
 
MAx naomba Uzinduzi ufanyike mwezi wa Sita kati kati kwani mimi ni mdau nina maoni yangu naweza kujitolea hata gharama za ukumbi au hata Tshirt

now you guys are talking.
Jukumu la kila mdau ni lazima liwe ni kufanikisha, na si kwenda kuona alIchofanya MaxENCE..
I wish your suggestion was taken on-board, OP!
 
Back
Top Bottom