Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
- Thread starter
- #21
"Nimeishi kwa matumaini kwa muda mrefu, nikitegemea siku moja mambo yatabadilika ndani ya CCM, mpaka leo hii sioni dalili, ni heri niheshimu dhamira yangu kama Mwalimu Nyerere alivyotuasa kwamba CCM si mama yangu.
Nasononeka CCM imegeuka gulio la kila mtafuta cheo na utajiri haramu. CCM imegeuka kimbilio la kila mwenye dhamira ya ulanguzi. CCM imepoteza maadili ya uongozi na imekua ngome ya mafisadi wanaotafuna utajiri wa nchi yetu. Natoka CCM na sijutii uamuzi wangu" By F. Mpendazoe wakat anatangaza kuachia ngazi kutoka CCM.
Nasononeka CCM imegeuka gulio la kila mtafuta cheo na utajiri haramu. CCM imegeuka kimbilio la kila mwenye dhamira ya ulanguzi. CCM imepoteza maadili ya uongozi na imekua ngome ya mafisadi wanaotafuna utajiri wa nchi yetu. Natoka CCM na sijutii uamuzi wangu" By F. Mpendazoe wakat anatangaza kuachia ngazi kutoka CCM.